Salaam Alyeikum mabibi na mabwana<br />
<br />
Hatimae mwezi umeandama na kesho itakua siku kuu ya Idd el Fitr kumbuka kutoa sadaka na kutenda yaliyo mema. Mungu awajaalie muwe na afya njema na atukinge na majanga yote, ajali za moto, barabarani na kwenye bahari na disko zisiwepo ili tukutane tena Ijumaa tuendelee na ujenzi wa taifa hili. Rafiki yako katika Kristo. Elli