Hatimae Mwezi umeandama

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,211
Reaction score
99,963
Salaam Alyeikum mabibi na mabwana

Hatimae mwezi umeandama na kesho itakua siku kuu ya Idd el Fitr kumbuka kutoa sadaka na kutenda yaliyo mema. Mungu awajaalie muwe na afya njema na atukinge na majanga yote, ajali za moto, barabarani na kwenye bahari na disko zisiwepo ili tukutane tena Ijumaa tuendelee na ujenzi wa taifa hili. Rafiki yako katika Kristo. Elli
 
<br />
<br />
nijulishe huo mwezi umeonekana wapi ?mkuu
 
Mwezi umeandama ndiyo. Lakini ole wenu ambao badala ya kufungua kula mchana "mnafungulia" kila kitu, wengine mnafungulia zip. wengine mnafungulie ulevi nk. Thawabu zote mlizovuna mwezi wote mtukufu zitakuwa zimepote zote. OLE WENU MFUNGULIE ..........
 
Ni kweli Mpwa, japo umeni-quote sidhani kama haya maneno umeyaelekeza kwangu tu....haya mi sikufunga bhana hebu some hio thread vizuri pale mwisho nimemaliziaje.....
 
Idd njema! Ila kama usinge andama hata siku tatu mbele mngeendelea kufunga ama mngehesabu siku 30 tu?
 
hiviii siku mwezi ukigoma kutokea mtafanya nini???kwa nini msiwe na tarehe maalum kama dini zzingine?
 
hiviii siku mwezi ukigoma kutokea mtafanya nini???kwa nini msiwe na tarehe maalum kama dini zzingine?

Kama ulisoma physics sekondari siku mwezi ukigoma kutokea duniani sijui tutafanya nini, sio waislamu peke yao lakini sote kwa ujumla wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…