Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,650
Sawa mkuu.Achana nae....hilo ni time bomb,,, kama ni demu gonga tu ila kama ni mke wa kuspend nae life time, kwene uzima na maradhi, kwene njaa na shibe, n.k achana nae tafuta mwanamke wa kuoa
anaonewa, sijui mwanaume anamnyanyasa, sijui mwanaume anataka wasichana wengineo.