Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
Naona wapinzani walikuwa wanahujumu sana uchumi wetu.
Baada ya kuwaweka ndani na wengine kuwa hospital ,uchumi umepaa vibaya , pesa imepaa, Viwanda vimeongezeka, Ajira za kumwaga, Wawekezaji wanagombania kuja nchini kwetu....Mishahara imepanda, pato la taifa limekuwa.
Kwa hali hii hatuitaji wapinzani tena. Sifa na utukufu zimwendee ndugu Jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuwaweka ndani na wengine kuwa hospital ,uchumi umepaa vibaya , pesa imepaa, Viwanda vimeongezeka, Ajira za kumwaga, Wawekezaji wanagombania kuja nchini kwetu....Mishahara imepanda, pato la taifa limekuwa.
Kwa hali hii hatuitaji wapinzani tena. Sifa na utukufu zimwendee ndugu Jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app