Hatima ya upinzani na Kibonzo cha Masoud Kipanya

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,979
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Sijawahi kuona ukileta kibonzo cha Kipanya,leo kwakuwa imehusu upinzani umewahi mapemaaa!
Utakuwa unamfollow kipanya,ila vibonzo vingine vyote vimekuwa vikikuumiza sana!Leo kimepatikana cha kukufariji!
 
Nasikia Samatta aluvunjika mguu huko Ubelgiji, ila tangu amepona amekua akitupia kuliko ilivyokuwa kabla.
so, huenda upinzani upo kwenye pricess ambayo kama hawatavunjika moyo na wakaja ku recover watakua bora kuliko matarajio ya wengi
If wishes were horses, beggars would ride!
 
Inategemea unaangalia vipi, unaweza kuona upinzani sasa umebakia jina tu. Hauna cha kusema kwa kuwa umefungwa/umejifunga kichwa ukibakiza macho tu kuona yanayoendelea. Umelemezwa/umejilemaza mikono na miguu hivyo hauwezi kwenda au kuandika chochote. Unatembea kwa msaada wa magongo, hivyo mwendo wake ni mdogo au hakuna mwendo kabisa
 
Huo ujumbe wa picha umeulewa we kilaza?

Hujiulizi maana ya kufungwa bandage?

Huoni ujumbe hapo ni mabavu ya dola yanatumika kutaka kuua upinzani?

Huoni huo ndio udikteta wenyewe unaosemwa?

Alafu ukifurahia hiyo picha, utapingaji matamko ya US, EU na Benki ya Dunia kuhusu ukandamizaji wa vyombo vya dola kama kweli una akili?

Pamoja na mabuvu yote haya, kubalini tume huru muone matakeo yake.

Poor creatures!!
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Maisha ni kupanda na kushuka kisha kupanda.
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Baada ya kushambuliwa vikali wengine walivunjika hadi miguu na mikono, nakuondoa magonjwa megine yalio kua yakmejificha ndani kwa ndani, kibonzo kinaonyesha kwamba hali ya upizani imeanza kuleta matumaini nawameanza kutembea japo kwa magongo, ikifika 2020 wateweza kutembea tena kwa kukimbia, ndo tafsri ya hicho kibonzo
 
Hata Bakhresa huwa anakula dagaa,lakini haimaanishi kufilisika
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
 
Back
Top Bottom