Hatima ya upinzani na Kibonzo cha Masoud Kipanya

Tume iliopo ni huru kwa mujibu wa sheria na katiba sio kwa mujibu wa Mtazamo wako
Tume ipo huru kwa mujib wa sheria, lakin angalia hiyo sheria inampa rais mamlaka ya kcuhagua wajumbe watume. Inamaanisha kuwa rais anaweza i control tume na tume isifanye lolote.
Hiyo sheria irekebishwe
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Hapa sio kujikuta na kuumizwa, upinzani umeumizwa kwa makusudi na dola na vyombo vyake. Na sasa Dola inajitengenezea plan B ya upinzani kwa kumtukuza homeboys Shibuda/Cheyo na Mbatia wale kindakindaki sasa ni mashetani na watumwa na mabeberu.

Zitto, Lisu, Mdee, Mbowe, Msigwa na Seif wao wanatakiwa kusifu na kutukuza kama watachagua magongo yawatoke.

Wajuvi waliona haya na mtu wa kwanza alikuwa Lisu utamu wake ni sasa vyuma vinawagusa na untouchables. Hii ndio Africa na utakumbuka zaidi jiwe likitoka madarakani jinsi wananzengo wanamaanisha nini kukaa kimya.
 
IMG-20181113-WA0010.jpg
Huyu jamaa anang'ata na kupuliza leo upande fulani unacheka,kesho upande mwingine unanuna
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Watakuwepo wengi tu kupitia CCM.
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Upinzani ulishakufa tangu 2015.
 
Mkuu nani victim apa? Mwananchi au Serikali?
 

Attachments

  • IMG-20181114-WA0001.jpg
    IMG-20181114-WA0001.jpg
    54.9 KB · Views: 24
Kwa hiyo kwa akili yako, UPINZANI ukiwa mahututi hapa nchini, ni jambo la kushangilia? Hakuna serikali imara bila upinzani imara. Na mbaya zaidi, madhila ya Upinzani hapa kwetu yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na njama ovu za serikali iliyoko madarakani.

Lakini kwa taarifa yako, mazingira haya magumu ndio yanachagiza uimara wa chama cha upinzani. kwa hiyo utasubiri sana. Wengi wameitabiria kifo CHADEMA, kwa mfano, lakini wao ndio wamefutika. mfano mzuri Stephen Wasira. angalia usije ukaungana nao
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Upinzani kwisha habari yake ..... viongozi wa vyama vyote washaingia Ikulu tunamsubiri Mbowe najua na yeye anatamani kwenda Ikulu kuonana na Mh. JPM but usijali na wewe Mbowe siku yako itafika ya kwenda kumsalimia Mkuu wa nchi
 
Ni mtu mjinga tuu ambaye anaona Simba na Yanga wako uwanjani lakini Simba miguu imefungwa kamba kisha akasema "hakika Yanga ni timu mahiri ona Simba alivyozidiwa kila idara! Hawa lazima washuke daraja"
Wajinga hapo sio timu ya Simba Bali Yanga na washabiki wanaoshangilia kama mazwazwa. (Samahani kwa mfano wa Yanga)
Huo mfano sio mzuri kwakuwa mimi ni mshabiki wa timu ya Simba.
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Hivi CCM inaona raha gani kupambana na mpinzani ambaye ni kama amefungwa mikono na miguu??

Hivi hamuoni namna vyombo vya dola kama vile Polisi, Immigration, maDC & maRC waki-support CCM kwa asilimia 100??
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
Na akieka vyengine pia uunge mkono hoja
 
wa mujibu wa gwiji la habari za kiuchunguzi alipelekwa marekani na mabeberu yanatuonea wivu ili kufundishwa jinsi ya kuchora katuni za kuvunja amani. ni kweli eti MR INZI WA KIJANI
 
Endeleeni kujifariji. Siku wakurugenzi na wasimamizi wa uchaguzi watakapohamua kutangaza matokeo ya ukweli ndio siku midomo yenu itakapojaa nzi kwa mshangao.

CCM bila polisi tume nk ni wepesi Kama toilet paper
 
Endeleeni kujifariji. Siku wakurugenzi na wasimamizi wa uchaguzi watakapohamua kutangaza matokeo ya ukweli ndio siku midomo yenu itakapojaa nzi kwa mshangao.

CCM bila polisi tume nk ni wepesi Kama toilet paper
kumbe bado kuna watu wazima wanajidanganya hadi leo??

Hii Nchi ni sisi M mwanzo mwisho wala usijidanganye.

Kadri watu wanavojifanya wanaamka basi na wale waliokuwa kule mlimani wanazidi kujizatiti kwa mbinu mbali mbali kuhakikisha wanaojifanya wameamka hawafiki hata nusu ya mlima.

Yani mtu yupo mlimani anakuona wewe unataka kupanda akuache tuu?
Atakuporomoshea hata mawe uwende na maji huko.

Kama mtu kashindwa kujifunza mpaka yaliyojiri kule kisiwa cha Nchi ya pili basi huyo ni zezeta wa kutupwa.

Endeleeni kujipa moyo wa kitoto tu.

Fanya mambo yako aisee siasa inakupotezea Muda.

LABDA MIMI NAONA MABADILIKO YATALETWA NA SERIKALI YA CCM TUU NA SIO VINGINEVYO MNAVOJIDANGANYA.

MABADILIKO YATALETWA NA CCM

MABADILIKO YATALETWA NA CCM

MABADILOKO YATALETWA NA CCM

MABADILIKO YATALETWA NA CCM

MABADILIKO YATALETWA NA CCM.

UPINZANI MUSAHAHU

UPINZANI MUSAHAU

UPINZANI MUSAHAUUUUUU
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''

Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.

Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.

Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.

Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!

Dr75xbjXgAELH8L.jpg
pamoja na yote bado upinzani unasonga
 
Back
Top Bottom