momo2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 424
- 294
Kwani Zari ni maskini? BTW kati ya Dai na Zari nani ana pesa zaidi?.Huyu show off zake zinamponza sana kwa akili yake ndogo anahisi anawakomoa akina fulani kmb ndo anajimaliza. Zari yupo pale for fame umarufu ukiisha anachukua kilicho chake anasepa
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanachangia bila kujua kuwa kifedha na utajiri Zari yupo juu since day one wanakutana na Chibu.Mganda amechizika na Mondi bin Laden tuu.Kwani Zari ni maskini? BTW kati ya Dai na Zari nani ana pesa zaidi?.
Umeona ehhh...Zari hakuja kumchuna Dai pesa yake anayoo ndefuu tu...Watu wanachangia bila kujua kuwa kifedha na utajiri Zari yupo juu since day one wanakutana na Chibu.Mganda amechizika na Mondi bin Laden tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah na atazidi ku_decay mpk atapukutika kwa huu ujinga anaoendelea kuufanya sijui limempa nn hili libibi, au anamendea mali za ulisi maana jamaa hasikii wala haoni.kifimbocheza_ huwezi acha mademu wa kitaani kwenu,afu utegemee mademu wa kitaani kumpenda!
Atafute sapoti ya waganda,sapoti ya home from Bongo ladies ataisikia kwenye bomba...!
Si njaa zao ndo zilizowapeleka,kama huyo mwengine aliyejifanya kuzaa naye na kutafuta kiki.swali fupi tu,hivi tangu waanze kungonoka mahusiano yao ya kwanza alikuwa diamond tu? Hakukuwa na wengine kabla ya yeye? Au kwa sababu anaukwasi na wao walitegemea njaa zao wapate hisani yake? Mambo yalipoenda mlama wanadai wamechafuliwa.Tena wengine walivyokuwa hawana haya wanajitangaza kabisa kwenye media kwamba,akitaka hata uvunguni anapewa,Hakuna mwanaume anayekataa papuchi za watoto wazuri zinazotaka kushughulikiwa.Teh teh teh
Kwani Zari ni maskini? BTW kati ya Dai na Zari nani ana pesa zaidi?.
Ndoa solex ...na demu mjanja anajua akifanyacho hehehe...Huyu show off zake zinamponza sana kwa akili yake ndogo anahisi anawakomoa akina fulani kmb ndo anajimaliza. Zari yupo pale for fame umarufu ukiisha anachukua kilicho chake anasepa
Sent using Jamii Forums mobile app
Atampukutisha atabaki mtupu na domo lake kama jaba. Yaani ni ananikera huyu jamaa basi tu.Ndoa solex ...na demu mjanja anajua akifanyacho hehehe...
dah huyo Zari anafanya biashara gani?Watu wanachangia bila kujua kuwa kifedha na utajiri Zari yupo juu since day one wanakutana na Chibu.Mganda amechizika na Mondi bin Laden tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
2M tayari nafikiri mdada ashukuru maana hii imechangia yeye kuja. Kwaya ya Mt. Cecilia kila mtu na washabiki wake wameshindwa kumpiku? (joke)Waache waoaneee!!!
Ila mziki wa Seduce me upo pale pale unakaribia 2M huko YouTube.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo unafanyiwa kampeni utafikiri kuna uchaguzi. Kizuri kinajiuza chenyewe siyo kwa kufosi kiasi icho ila thumb up mmefanikiwa congrats for that ila ukifika view flan ukaganda mtaonekana maboya sana. Kesheni ivo mpk mfikishe view 10 kama salome ndn ya mwez mmoja.2M tayari nafikiri mdada ashukuru maana hii imechangia yeye kuja. Kwaya ya Mt. Cecilia kila mtu na washabiki wake wameshindwa kumpiku? (joke)
Na uzee juu maana akumbuke uzee ukiingia hakuna make up itakayobadili hilo. Hapo ndo huyo zari ataomba poo maana kaka yetu yupo vzr kwenye kuseduce wadada. HahaaahaaaHuyu show off zake zinamponza sana kwa akili yake ndogo anahisi anawakomoa akina fulani kmb ndo anajimaliza. Zari yupo pale for fame umarufu ukiisha anachukua kilicho chake anasepa
Sent using Jamii Forums mobile app
Waoane tuu kwani ndoa yao itatupa kiburudisho kama mziki mzuri? Watu ni mwendo wa kutingisha nyonga tuuuNdiyo haujamwelewa kumbe.
Anataka tuanze kumzungumzia yeye.
Tayari 2M viewersWaache waoaneee!!!
Ila mziki wa Seduce me upo pale pale unakaribia 2M huko YouTube.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si njaa zao ndo zilizowapeleka,kama huyo mwengine aliyejifanya kuzaa naye na kutafuta kiki.swali fupi tu,hivi tangu waanze kungonoka mahusiano yao ya kwanza alikuwa diamond tu? Hakukuwa na wengine kabla ya yeye? Au kwa sababu anaukwasi na wao walitegemea njaa zao wapate hisani yake? Mambo yalipoenda mlama wanadai wamechafuliwa.Tena wengine walivyokuwa hawana haya wanajitangaza kabisa kwenye media kwamba,akitaka hata uvunguni anapewa,Hakuna mwanaume anayekataa papuchi za watoto wazuri zinazotaka kushughulikiwa.Teh teh teh