INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
bila kusahau ujenzi wa kiwanja cha ndege cha chato kwa manufaa ya nani??kwa bujeti ipi kweli kuna mizigo mingine tunajitakia wenyeweKuna mizigo serikali hii imejibebesha bila ya ulazima wowote na hivyo kuongeza matumizi makubwa kwa serikali.
Kwa mfano kulikuwa na haja gani ya kuanzisha Mahakama ya Mafisadi??
This is bringing very unnecessary expenditures to the government.
Hii Mahakama imeleta ufanisi gani so far??
Shida kama Taifa we don't have priorities. Ni hobela hobela tu mtu anaamua ananunua midege kama vile mahitaji ya watanzania ni mindege kwa sasa. Mindege haikuwa hata kwenye bajeti as a result masuala mengine ya msingi yanakwama kwasababu ya matumizi haya ya ovyo ambayo hayakuwa kwenye bajeti.
That's why tunakopa sana na tunakoelekea status yetu itakuwa hatukopesheki.