General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Mpaka sasa sioni dalili ya CCM kuchukua jimbo hata moja katika jiji la Dar labda la Kigamboni kutokana na mgogoro wa CHADEMA na CUF lakini majimbo yote UKAWA wana nondo za kutosha.
Mfano, Kibamba yule mama hata UKAWA wangesimamisha jiwe, jiwe lingeshinga.
Ubungo mpaka sasa sijui atashindia wapi kwani mkutano wake tuu haina watu, kubenea hana mpinzani
Segerea ndo kabisaa, Mtatiro anashinda kweupeee
Temeke huyu Mtemvu watu walisha mchoka tangu zamani
Ukonga, Silaa sidhani kama ataweza shindana na Waitara kutokana na nguvu ya upinzani katika jimbo hilo
Ilala huyu Hassanal ndio anakubalika na wamachinga na vijana wengi, zungu washamchoka.
Mbagala ndio hivyo CCM hakuna chao pale
Kinondoni ambapo ni makao makuu ya CHADEMA, CCM pale hawana jipya tena.
Kawe, Halima Mdee ndio hivyo tena anasubiri kuapishwaa
Mfano, Kibamba yule mama hata UKAWA wangesimamisha jiwe, jiwe lingeshinga.
Ubungo mpaka sasa sijui atashindia wapi kwani mkutano wake tuu haina watu, kubenea hana mpinzani
Segerea ndo kabisaa, Mtatiro anashinda kweupeee
Temeke huyu Mtemvu watu walisha mchoka tangu zamani
Ukonga, Silaa sidhani kama ataweza shindana na Waitara kutokana na nguvu ya upinzani katika jimbo hilo
Ilala huyu Hassanal ndio anakubalika na wamachinga na vijana wengi, zungu washamchoka.
Mbagala ndio hivyo CCM hakuna chao pale
Kinondoni ambapo ni makao makuu ya CHADEMA, CCM pale hawana jipya tena.
Kawe, Halima Mdee ndio hivyo tena anasubiri kuapishwaa