Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Kinondoni?Bibie habari za kinondoni?
Kinondoni?Bibie habari za kinondoni?
Yap au umehama?Kinondoni?
Osha na vinega kabla hujaipika then you're good to gokabichi/kabeji nayo kuna mtu kaniambia ni hatari sana kwa afya. Akasema ni mojawapo ya vitu wadudu wanapenda sana,sasa ili isishambuliwe na wadudu inapigwa dawa za kutosha na watu ambao hawana ujuzi wa kutumia viwatilifu. Na kwa asili yake jinsi inavyokuwa kwa kujikunja inajikusanya na kujifunga na zile dawa zinabaki mle ndani. Kwa hiyo ukila kabeji a.k.a kabichi una kula full chemicals ,na jinsi nilivyo mtu akielezea vitu vya kitaalam namwamini sana nimeacha kula hiyo kitu
Basi nimekufananisha na dada mmoja alikuwa anauza duka la spare kinondoniSijawahi ishi kinondoni
Hapana sio mimiBasi nimekufananisha na dada mmoja alikuwa anauza duka la spare kinondoni
Sili na sitawahi kula ,nyama ya kuku,samaki,mbuzi,ng'ombe,kondoo, zinanitosha mnooSasa wewe hauli Mdudu unakula nyama ganii???
Hahahahaha unaweza kulia haki tenaWazee wa kimasai kuna ma mizizi wanagonga sana baada ya kula nyama na hata wana utaalamu wa kuandaa nyama.
Kama kuna wabobezi wa lishe watusaidie maana wenyewe kwa wenyewe tunachanganyana sana. nilikuwa nimeanza kupata kakitambi kuna mjamaa akaniambia punguza haka katambi maana na kenyewe ni ugonjwa kwa mujibu wa wizara ya afya. nikauliza napunguzaje? nikaambiwa punguza wanga hamia kwenye protein(nyama, mayai, matunda...........) kumbe nyama nayo ndo hivyo haisagiki haraka- Tufuate lipi sasa?
Afadhali we nimekuelewaTATIZO LA UBISHI WA WABONGO WANAPOAMBIWA MADHARA AU FAIDA YA KITU FLANI HAWATAKI HATA KUFANYA UTAFITI KWANZA WA FAIDA NA HASARA YA KITU WANACHOELEZWA ZAIDI YA KUJIKITA KATIKA UTETEZI KWA HOJA ZAO FEKI, INGAWA MTOA MADA YUKO SAHIHI ILA ANGESISITIZIA "NYAMA NYEKUNDU".
KWELI DUNIANI KUNA WATU, VIATU, VIJITU, MIJITU, MAJITU NA MAWATU.
HAPA JAMII FORUM KUNA MAWATU SABABU YA KUWA NA UBISHI WA KIWANGO CHA JUU KWA KILA KITU. NYAMA NYEKUNDU KILA SIKU INAKATAZWA NA MADAKTARI SABABU YA KULETA MADHARA CHUNGUNZIMA MWILINI LAKINI MTU ANAJITETEA ETI:
1. TUMEANZA KULA SIKU NYINGI MBONA HATUUMWI KAMA VILE KILA UGONJWA HUPATIKANA PAPO KWA HAPO NAKATI HAKUNA MAGONJWA HATARI SANA NA MAGUMU KUTIBIKA KIRAHISI YATOKANAYO NA UTENGENEZWAJI WA ATHARI MIILINI POLE POLE SIKU HADI SIKU.
MFANO:
KISUKARI, KANSA, TB, BP.
2. UNAWEZA KUACHA KULA NYAMA NYEKUNDU LAKINI KUFA UTAKUFA TU, UTAKWEPA KULA NYAMA LAKINI UTAKUFA KWA KULA PAPUCHI(UKIMWI), KUVUTA SIGARA(KANSA YA MAPAFU), KUNYWA POMBE KWA SANA(KISUKARI) AU HATA KUPATA AJALI KWA KUGONGWA NA VYOMBO VYA MOTO & KUZAMA MAJINI KWA MELI, BOTI AU MITUMBWI NA KUANGUKA HATA KWA NDEGE.
JE KWANINI HATULALI NA MILANGO WAZI MAJUMBANI IKIWA TWATEGEMEA ULINZI WAKE MUNGU KWA 100%?
KUCHUKUA TAADHARI SI KWAMBA NDIYO SABABU YA KITU KUTOKEA JAPO INAWEZA KUWA SABABU YA KUPUNGUZA KITU AU KUSABABISHA KISITOKEE KABISA NA NDIYOMAANA HATA MUNGU ALITUPATIA AKILI YA KUJUA MEMA NA MABAYA ILI TUWEZE KUWA NA TAADHARI KABLA YA TUKIO.
MFANO:
MAGARI HUWEKEWA MIKANDA YA KUFUNGA UNAPOSAFIRI KUZUIA ATHARI ZA KUDHURIKA SANA INGAWA WALIOWEKA HAWAOMBEI AJALI ITOOEE NA HAWAWEZI KUIZUIA LAKINI HULETA FAIDA MARADUFU KULIKO KUTOFUNGA MIKANDA WAKATI WA KUSAFIRI.
3. KUFA NI LAZIMA LAKINI MUNGU HAJATUELEZA TUKALALE KWENYE BARABARA ZA MAGARI TUGONGWE TUFE, TUKAINGIE KWENYE VINA VYA MAJI MAREFU TUFE AU TUJINYONGE ILI TUFE BALI TUFE KATIKA MPANGO WAKE MUNGU.
SO KUFA ISIWE SABABU YA MTU KUTOCHUKUA TAADHARI LA SIVYO WATU TUSINGETHUBUTU KABISA KWENDA HOSPITALINI KUTIBIWA NA MADAKTARI TUKIUMWA SABABU KUFA NI LAZIMA.
4. KWANINI HAMTAJI AINA YA MITISHAMBA NA MIZIZI AMBAYO HAO WAMASAI & WAADZABE HUTUMIA KUJIKINGA NAYO NA KUONDOA SUMU MIILINI ZAIDI YA KUWATAJA TU KUWA WANAKULA NYAMA MARA NYINGI TU BILA YA KUUMWA AU KUFA?
HIVI KUTATAJWA MAKABILA YALIYO VIZURI KTK MATIBABU NA KUJIKINGA MWILINI VIZURI UKAACHA HAO WAMASAI TOFAUTI NA HAWA WA MJINI MATAPELI?
TUWE TUNAKUBALI KUELIMIKA TUNAPOELIMISHWA.
5. PROTINI HUHITAJIKA KTK MIILI YETU KWA FAIDA MBALI MBALI KAMA VILE KUIMARISHA HOMONI ZETU BUNADAMU LAINI SI LAZIMA HIZO PROTINI ZITOKANE NA NYAMA TU BALI ZINAWEZATOKANA NA SAMAKI, VYAKULA VYA MBEGU MBEGU KAMA VILE SOYA, KOROSHO, KARANGA NA MAHARAGE, MATUNDA(PARACHICHI) & NAZI, MAZIWA NA MBOGA MBOGA KAMA VILE SUKUMA WIKI NA MAJANI YA KUNDE.
6. NYAMA ZA ENZI ZA MABABU ZETU ZILIKUWA HAZICHOMWI SINDANO MARA KWA MARA KAMA HAWA NG'OMBE WA KISASA NA HATA HIVYO WAZEE WETU WALIKUWA WANAFANYA KAZI NGUMU SANA KWA KUTEMBEA UMBALI MREFU, KULIMA MASHAMBA NA KUPALILIA KWA MIKONO TOFAUTI NA KIZAZI CHETU CHA LEO KINACHOTAKA KUFANYA KAZI KIDOGO TU NA KUKAA SIKU NZIMA BIPA YA KUTOKWA HATA NA JASHO.
IKUMBUKWE KUWA SUMU KTK MIILI YETU HUTOKA KWA HAJA KUBWA, MIKOJO NA JASHO, SO MIMENG'ENYO YA BABU ZETU ILIKUWA MIKUBWA SANA KWA SABABU YA KUJISHUGHULISHA KWA KAZI NGUMU AMBAPO LEO HII TWAPASWA KUFANYA MAZOEZI YA KUTOSHA ILI KUONDOA SUMU KTK MIILI YETU KWA WALE TUNAOISHI MIJINI.
7. UKISHINDWA KULA KABISA NYAMA BASI JITAHIDI ULE HATA MARA 1 TU KWA MWEZI NA HAKIKISHA UMEIBANIKA MOTONI KWA WAVU IMEKAUKA VIZURI NA IPIKE ILAINIKE SANA NDIPO UTAWEZA KUPUNGUZA AU KUZUIA KABISA ATHARI ZA AFYA MWILINI.
Hili bandiko linanifanya nianze kuwaza kuacha nyama...Kuna jamaa ameanzisha uzi humu akiomba ushauri wa kuwa Vegetarian.
Kwa vile uzi huu unagusa kila mtu nimeona niandike hapa ili kila mtu afaidike na historia yangu ya kula nyama.
Mwaka 1993 ndo ulikuwa mwaka wangu wa kufanya maamuzi ya kuacha kutumia nyama yaani nyama zote za kuchinja kuku na wanyama wote. Sababu za kuacha nyama nimezigawanyisha katika makundi mawili.
1. Kiroho (spiritually) na 2. Kimwili (biologically?
Nitaanza na sababu za kiroho
Mungu ndo ametuumba sisi binadamu, chakula ambazo alikusudia mwanzo kabisa ni matunda tu ndo iwe chakula chake. Baada ya uovu, akaruhusu na mboga mboga.
Alikuja kuruhusu nyama baada ya gharika la Nuhu, lengo lake Mungu kuruhusu nyama ni hizi zifuatazo.
1. Kupunguza life span ya wanadamu maana matokeo ya ulaji wake ni magonjwa, na matokeo yake umri wa kuishi ukapungua kutoka mamia ya miaka hadi miaka mia hapa mwanzoni.
2. Aliwaruhusu kula nyama ili kukidhi tu haja yao ya tamaa, maana waliisha anza kutumia nyama kabla hawajaruhusiwa.
Ndio maana pia sehemu zote watu makini wa Mungu kama Daniel hawakutumia nyama.
Mungu alivyowatoa wana wa Israel alikusudia kutowapa nyama badala yake aliwapa Mana. Lakini walimlazimisha akawapa ndege kwale. Tukio lile lilimsononesha Mungu la kulazimisha kupewa nyama, ama la warudishwe Misri walipotoka. Biblia nzima ruhusa ya kula nyama ilitolewa kama tukia la sadaka, maana kula nyama halikuwafurahisha hata walaji kuchinja mnyama asiye na hatia kwa ajili tu ya dhambi zako.
Sababu za kimwili.
Miili yetu ilivyotengenezwa haihitaji nyama. Kwa kuwa mwili hauna storage ya protini, kwa kuwa nyama zote zina protein ya grade A. Recommended Daily Allowance ya protein kwa siku inayohitajika kwa matumizi mwilini kwa mtu mzima ni 30grams per day, yaani sawa sawa na uzito wa sarafu tatu za shilingi 10.
Protein ni muhimu kwa watoto ambao wanakua kila siku, kwa mtu mzima umuhimu wa protein ni kwa ajili ya ukuaji wa nywele na kucha tu hakuna kingine. Hivyo protein kwa mtu mzima ni negligible au haihitajiki sana. Zaidi ya hapo ni koungeza uchafu mwilini.
Uchafu kwa maana ya waste zinazozalishwa wakati wa kuiondoa protin mwilini.
Chemical zinazozalishwa wakati wa mchakato ni Amino acid kisha inabadilishwa kwa kuchanganya na madini mengine kama calcium ili kufanikisha kupata Urea na inatoka nje kama mkojo.
Mtengenezaji wa chemicali hizo ni Ini.
Hivyo protini kwa wingi mwilini hufanya Ini lipate load kubwa ya kutengeneza chemical za kuneutralize madhara ya protein. Ndio maana siku hizi kuna ugonjwa wa homa ya Ini kwa sababu ya matumizi makubwa ya protein, na pia ugonjwa wa UTI umekuwa common sana kwa sababu kipimo kinaonyesha particles nyingi za protein ambazo ni dalili kuwa hata figo zinazidiwa sana na chemicals zinazosababishwa na Ini.
Kwenye Amino acid kuna substance, ya Nitrogen ambazo ni kichocheo kikubwa cha uzalishaji wa seli za mwili. Uwepo wa Nitrogen kwa wingi mwilini ambao husababishwa na Amino acid ambayo ni zao la protini, huongeza uwezekano wa kupata kansa kwa vile kansa ni kuzaliana kwa seli nyingi kupitiliza.
Kwa vile zama hizi consumption ya protini ni kubwa hivyo maradhi yanayohusiana na ulaji huu ni yafuatayo.
Homa ya Ini:
Hii husababishwa na Ini kuzidiwa, yaani ini lingekuwa linaongea lingesema, jamani sasa hivi siwezi kutengeneza dawa za kurekebisha taka zenu mnazoingiza mwilini. Ini likizidiwa, yaani lina homa, linashindwa kuzalisha chemicali ya Insulini hivyo mtu hupata ugonjwa wa kisukari.
Wakati huo huo na figo nazo zinateseka, kongosho nk. Pia kama ini bado ni ngangali basi cancer zinaanza kukuotea sehemu mbali mbali, kama mauvimbe mwilini au lipoma ma MD wanaita. Na magonjwa mengine kama arthritis husababishwa na utumiaji mkubwa wa protein. Nyama pia huongeza acid nyingi mwilini. Na kwa vile miili yetu inataka vyakula vya alkaline, ni vyakula vyote alivyoumba Mungu vya mimea vina alkaline.
Vimelea wengi hustawi kwenye mazingira ya acids hivyo too much blood acid ni too much diseases.
Damu ikiwa ni alkaline hakuna kimelea kinachoweza kuishi mwilini. Ulaji wa nyama ni ukatili tu unaosababishwa na uchu wa binadamu hakuna kingine. HUWEZI KUWA NA AFYA NJEMA KWA KULA NYAMA.
Hizo tunaita old school tie, yaani ujinga tuliokalilishwa shuleni kwamba nyama ni chakula bora.
UNAPOCHUKUA HATUA KUACHA NYAMA hakikisha unakula vyakula mchanganyiko vilivyo na balanced diet pamoja na matunda mengi sana pamoja na maji. Utaenjoy afya njema ya mwili na roho.
Wakati naacha nyama kipindi hicho mwaka 1993 nilikuwa nahofu kuwa afya yangu itazorota. Lakini ipo vizuri sana sana magonjwa yamenikimbia, maana sijaumwa tangu mwaka 1999 hadi leo 2018 ni miaka 19 na sina mpango wa kuumwa, nang'atwa na mbu kila siku na kunywa maji salama yasiyokuwa treated na chemicals na siumwi.
Sio Mungu ananilinda, ila Mungu amenipa mwanga wa kuacha kutumia vitu visivyo na manufaa kwa afya ya binadamu sasa na enjoy life, labda kitu ambachosii enjoy ni kutokuwa na pesa na kutosha kula starehe za dunia.
Sasa MD's njooni mharibu uzi huu kwa kuleta mbwebwe zenu mkijifanya mna akili sana kuliko wote, mnashindwa kung'amua between right and wrong kutoka huko medical school.
Mimi sio MD hata biology sijasoma, nimesoma PCM tu ya O- Level, najua matkuja kutoa mapovu tu hapa, mnashindwa kuwaelekeza wagonjwa matatizo yanayowakabili, ninyi mnawashindilia madawa, wanakunywa wanaharibu organ muhimu mwilini, wanakufa. Au kwa vile jamii ni wajinga, na nyie mtasema tulikuwa tunaokoa maisha yake.
Sili na sitawahi kula ,nyama ya kuku,samaki,mbuzi,ng'ombe,kondoo, zinanitosha mnoo



Bado hujala nyamaaAsante kunielewa MamaAfadhali we nimekuelewa
Basi hakuna nyama tamu kama kukuBado hujala nyamaa
Kuwa na akili si kusoma kila kitu na kukiamini, bali ukipewa wazo zuri au habari njema basi dadavua kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa.Ingia kwenye tovuti ya shirika la afya duniani, mpaka leo hakuna tafiti zilizothibitisha ubaya wa nyama nyekundu katika tafiti zaidi ya mianane zilizofanyika ila tafiti chache zimeonesha ubaya wa processed meat katika kuleta kansa
Siyo vyote, vingine vitamu vina faida.