Hatari Kubwa Mkusanyiko wa Marais 'Sauz'!

Hatari Kubwa Mkusanyiko wa Marais 'Sauz'!

K-Boko

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
697
Reaction score
218
Kuna utata mkubwa umeghubika tukio la kuwepo kwa yule jamaa mtafsiri wa lugha za alama jana wakati wa mkusanyiko wa msiba wa mzee Mandela pale katika uwanja wa FNB kwa kuwa inadaiwa hakupewa kazi hiyo na serikali ya Afrika Kusini na hadi leo haijajulikana alifanya kazi ile kwa ridhaa ya nani, ingawa inadaiwa mtu huyo hukodiwa mara moja moja katika mikusanyiko ya chama tawala cha nchi hiyo ANC. Baadhi ya vyombo vya habari vimeibua inayowezekana kuwa ni kashfa nzito ya kiusalama kwa serikali ya Rais Zuma ambapo ingekuwa hatari kubwa kama mtu huyo angejitwisha 'milipuko'! Mtu huyo alikuwa kushoto kwa wazungumzaji wakuu, akiwemo Rais Barack Obama (wakati akitoa hotuba yake).

Source: CNN News leo!
 
Kuna utata mkubwa umeghubika tukio la kuwepo kwa yule jamaa mtafsiri wa lugha za alama jana wakati wa mkusanyiko wa msiba wa mzee Mandela pale katika uwanja wa FNB kwa kuwa inadaiwa hakupewa kazi hiyo na serikali ya Afrika Kusini na hadi leo haijajulikana alifanya kazi ile kwa ridhaa ya nani, ingawa inadaiwa mtu huyo hukodiwa mara moja moja katika mikusanyiko ya chama tawala cha nchi hiyo ANC. Baadhi ya vyombo vya habari vimeibua inayowezekana kuwa ni kashfa nzito ya kiusalama kwa serikali ya Rais Zuma ambapo ingekuwa hatari kubwa kama mtu huyo angejitwisha 'milipuko'! Mtu huyo alikuwa kushoto kwa wazungumzaji wakuu, akiwemo Rais Barack Obama (wakati akitoa hotuba yake).

Source: CNN News leo!

Hii ni scandal....
 
Zuma ana miezi sita tu,kufikia uchaguzi mpya,hii kashfa inaweza kumkost
 
Back
Top Bottom