jus imagine ile tsunami ya 2004 iliyokuja huku kwetu ingekuwa na nguvu kama iliyowakumba indonesia,si tungepata hasara kubwa sana kama taifa,me naona kwa ulinzi wetu,mtu akitaka kufanya hujuma itakuwa ni rahisi,NYERERE ALIWAZA MBALI SANA KUAMUA MAKAO MAKUU YAHAMISHIWE DODOMA.
mkuu,
Kila mradi TZ unaambatana na ufisadi,rushwa tena mabilioni.Unakumbuka twin tower?
Sasa unawa-encourage wajanja waje na wazo la kujenga majengo mengine,sehemu nyengine up land, wajichukulie mabilioni.
Bora ije tu kama tsunani, wakipotea wakaaji wa humo katoka majengo uliyoyayataja, hopefully tutaanza ukurasa mpya, huenda ikawa afueni kwa mtu wa kijijini na mlalahoi.
Au wamekutuma?? Ututie hofu ili wapate kuvuna??
mkuu,
Kila mradi TZ unaambatana na ufisadi,rushwa tena mabilioni.Unakumbuka twin tower?
Sasa unawa-encourage wajanja waje na wazo la kujenga majengo mengine,sehemu nyengine up land, wajichukulie mabilioni.
Bora ije tu kama tsunani, wakipotea wakaaji wa humo katoka majengo uliyoyayataja, hopefully tutaanza ukurasa mpya, huenda ikawa afueni kwa mtu wa kijijini na mlalahoi.
Au wamekutuma?? Ututie hofu ili wapate kuvuna??