Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Wenye taaluma ya Fedha humu tunaomba maarifa toka kwenu kuhusu uhalali kisheria wa kuchuuza sarafu na noti za zamani.
Wachuuzi wanazo leseni za hizi benki/bureau dechange za pembezoni mwa barabara?
Kama hawana je, sheria za nchi zinawataka kurasimisha hiyo biashara kwa kuwa na leseni?
Kama uchuuzi huu siyo halali kisheria je, benki zinaruhusiwa kuwapa hizi ela?
Je, wanazitoa wapi?
Je, bado ziko kwenye mzunguko kwamba hazikurudishwa benki zote?
Je, sarafu na noti za zamani zikiondolewa kwenye soko la fedha na soko la mitaji huwa zinatunzwa benki kuu au zinaharibiwa?
Je, yawezekana wachuuzi hawa kama hawazipewi na benki zinazozihodhi yawezekana wanazipata kwa watu wanaochapisha ela bandia?
Wachuuzi wanazo leseni za hizi benki/bureau dechange za pembezoni mwa barabara?
Kama hawana je, sheria za nchi zinawataka kurasimisha hiyo biashara kwa kuwa na leseni?
Kama uchuuzi huu siyo halali kisheria je, benki zinaruhusiwa kuwapa hizi ela?
Je, wanazitoa wapi?
Je, bado ziko kwenye mzunguko kwamba hazikurudishwa benki zote?
Je, sarafu na noti za zamani zikiondolewa kwenye soko la fedha na soko la mitaji huwa zinatunzwa benki kuu au zinaharibiwa?
Je, yawezekana wachuuzi hawa kama hawazipewi na benki zinazozihodhi yawezekana wanazipata kwa watu wanaochapisha ela bandia?