Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Eeee kazi ipo tena sio nyepesi
Iwe ukweli au uongo dada wa umri huo kulilia baba yangu ni fulani ni upumbavututaona mengi....I think Makonda awe na wataalamu wa afya ya akili pembeni kuna special cases kama huyu dada ya kupima kama mzima,lol................ila on another hand what if anachoongea ni kweli?
MmmhhhhMdada mmoja ameitikia wito wa Mkuu wa Mkoa Dar, Paul Makonda kuhusu wanawake waliotelekezewa watoto kufika ofisini kwake ili kupata msaada wa kisheria. Dada huyo amejitokeza na kudai yeye ni mtoto wa Mzee Edward Lowassa.
Amesema..
''Nimetokea Kigamboni, nimekuja hapa, nimekuja kusikiliza wito wa mkuu wa mkoa, Makonda kwamba watu ambao wametelekezwa. Sasa mimi ni mmoja wa mtoto ambaye niliyetelekezwa, ambaye baba yangu ni Edward Lowassa. Nimeanza kumtafuta toka nikiwa darasa la sita na mama ananambia ni kweli baba yako ndio huyo huyo. Sasa nimefuatilia kila sehemu lakini sioni mafanikio kwa hiyo nimekuja hapa kwa mkuu wa mkoa Makonda anisaidie kwa hali na mali kwa vyovyote vile itakavyokuwa kama nipo tayari nipimwe DNA na huyo mzee Lowassa ili nisaidiwe nijue nakaa wapi. Kwasababu mama yangu mzazi yupo hata akija atatoa ushahidi na atasema kwamba itakuwaje kama DNA nipimwe basi.''
Anataka ajue eti "atakaa wapi" hahaha Bongo raha sanaIw
Iwe ukweli au uongo dada wa umri huo kulilia baba yangu ni fulani ni upumbavu
Huyo dada ndo hana busaraHii Nchi magufuli na makonda mnajua mnakoipeleka? Hivi Taifa limokosa watu wenye busara hadi tunafikia hapa?
Mbona yy katelekezwaWatoto ni baraka tusiwakimbie..
mmmhBado maaskofu walioandika waraka. Hii movie iliandaliwa kwa ajilili ya kuwachafua maaskofu na viongozi wa siasa
Duh! hili zoezi lingefanyika nchi nzima vituko vingi tungesikia...hili zoezi ni kirusi hatari cha ndoa za watu...Saga on move..
Mdada mmoja ameitikia wito wa Mkuu wa Mkoa Dar, Paul Makonda kuhusu wanawake waliotelekezewa watoto kufika ofisini kwake ili kupata msaada wa kisheria. Dada huyo amejitokeza na kudai yeye ni mtoto wa Mzee Edward Lowassa.
Amesema..
''Nimetokea Kigamboni, nimekuja hapa, nimekuja kusikiliza wito wa mkuu wa mkoa, Makonda kwamba watu ambao wametelekezwa. Sasa mimi ni mmoja wa mtoto ambaye niliyetelekezwa, ambaye baba yangu ni Edward Lowassa. Nimeanza kumtafuta toka nikiwa darasa la sita na mama ananambia ni kweli baba yako ndio huyo huyo. Sasa nimefuatilia kila sehemu lakini sioni mafanikio kwa hiyo nimekuja hapa kwa mkuu wa mkoa Makonda anisaidie kwa hali na mali kwa vyovyote vile itakavyokuwa kama nipo tayari nipimwe DNA na huyo mzee Lowassa ili nisaidiwe nijue nakaa wapi. Kwasababu mama yangu mzazi yupo hata akija atatoa ushahidi na atasema kwamba itakuwaje kama DNA nipimwe basi.''