NG`WANA ONG`WA DOYI
Senior Member
- Jan 31, 2013
- 112
- 42
ukianza kumega mapema ni msingi mbaya wa ndoa.
mke huyo...sasa hao ndio wake wakuoa mwanawane...unakuta kitu sealed bado sio watu walishakojolea mpaka basi
Mapenzi yanahitaji makubaliano ya mwanamke na mwanamme bila shuruti au ulaghai. Kama hataki huna sababu ya kumlazimisha, na kama unampenda mpe muda wa kukuamini. Miezi 4 ni kipindi kifupi sana kwa mwanamke unayesema atakuwa mke, wenzio tulivumilia miaka 6 baada ya kuona wife material na sasa tunavuna mbivu za uvumilivu....Kama UNAMPENDA, UTAMLINDA hadi awe tayari. All the best
Huyo ndio mke wa kuoa bro..muombe Mungu tu awe mke mwema!!
unajua ukigegeda toto la pori huwa linakuwa tamu sana na kale kaharufu dah kana mzuka sana
Tatizo hajafafanua ukute hakuna cha cld wala nin but keshachoka ku2mika mtt wa wa2.
Huyo ndio mke wa kuoa, usiwe na pupa, fanya mchakato wa kumuoa ujilie vyako taraatibu.
Inawezekana hampendi ndo mana anamuwekea mitihani migumu amuulize bado yuko bikra? Inawezekana anambania huku wengine wanakula kama kawaida
anasisitiza daily kuwa yeye bikra
nimemuuliza kasema yy bikra
braza sijakuomba unisaidie kumshawishi bali ninaomba ndugu zangu wanishauri kwaiyo kama onaona ni dhambi waweza kuniambia nisubiri mpaka ndoa lakin sio utumbo unaoandika
Habari zenu wakuu.
Nina rafiki yangu wa kike ambae ninampenda sana. Tupo kwenye mahusiano kwa miezi minne sasa. Mahusiano yetu ni mazuri, ila kila nikimuomba tushirikiane faragha (yaani kufanya mapenzi) anakataa na kusisitiza mpaka tuoane.
Nampenda ila pia nahitaji anipe penzi lake faragha. Naomba mnishauri, nifanye nini?
Usikute unanyimwa wewe afu kuna jitu linamega........
ukimuoa afu ikawa haipo je? muombe basi hata akuoneshe tu!!!