Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

Yani hiyo ndio wife material ya ukweli sasa kama ulikuwa hujui, yani huyo ukimuacha tu jua humpati tena wa ukweli kama huyo

aanze kutuma mashushuu wamchunguze tabia je ni mchoyo (jamaa anaweza onclude mchoyo kwa vile kanyimwa), je hana mababa poa? je mvivu n.k
 
aanze kutuma mashushuu wamchunguze tabia je ni mchoyo (jamaa anaweza onclude mchoyo kwa vile kanyimwa), je hana mababa poa? je mvivu n.k

kuna rafiki yangu anaishinae karibu anasema anatabia nzuri na sio mtu wakutoka toka nje
 
kama unampenda kweli na kakuhakikishia bikra tangaza ndoa, fanya kweli ila kuwa makini asikuongopee. Izo vitu adimu sana nasikia hata under 10wengine hawana,

kwani mnaoa bikra au mke mwema, u how?????????????, dedication CHUNGWA by sumalee
 
kuna rafiki yangu anaishinae karibu anasema anatabia nzuri na sio mtu wakutoka toka nje

ukimaliza mwaka bado anabana miguu basi huyo kawiva tuma wajomba wapeleke posa mi kwenye ushenga nipo fit waweza nitumia pia :becky:
 
Mapenzi yanahitaji makubaliano ya mwanamke na mwanamme bila shuruti au ulaghai. Kama hataki huna sababu ya kumlazimisha, na kama unampenda mpe muda wa kukuamini. Miezi 4 ni kipindi kifupi sana kwa mwanamke unayesema atakuwa mke, wenzio tulivumilia miaka 6 baada ya kuona wife material na sasa tunavuna mbivu za uvumilivu....Kama UNAMPENDA, UTAMLINDA hadi awe tayari. All the best
 
Back
Top Bottom