we bwana mbona hueleweki? We unaomba ushauri hivi unafikiria kila mtu atakupa ushauri unaotaka? Au una ushauri wako tayari halafu unajidai kuja forum hapa ni sehemu huru kila mtu kutoa naoni yake bwana kama ushauri aliokupa haukufai meza mate usubilie ushauri mwingine, tulia sindano ndo inaingia hivyo aliyekwambia sifa za mke wa kuoa zinapatikana forum nani, nenda makanisani na misikitini utapata washauri. Sio forum.
mzabzab kuku wa kisasa na wa kienyeji yupi mtamu?
pamoja bro!!!
hahahaha mzabzab kitu cha asili ndo chenyewe
kwani k nazo dada zetu wanaweka za mchina!!???
sana tu kuna sabuni za mchina wanazitumia jamaa angu anaziuza
Habari zenu wakuu.
Nina rafiki yangu wa kike ambae ninampenda sana. Tupo kwenye mahusiano kwa miezi minne sasa. Mahusiano yetu ni mazuri, ila kila nikimuomba tushirikiane faragha (yaani kufanya mapenzi) anakataa na kusisitiza mpaka tuoane.
Nampenda ila pia nahitaji anipe penzi lake faragha. Naomba mnishauri, nifanye nini?
Ndugu yangu!! Hapo kuna mawili.
Wanaume wameshamdo sana na wanasepa kutokana na wanachokikuta hivyo akikupa na wewe utasepa.
Ana kasoro fulani ambayo anajua ukiigundua mapema hautamuoa.