Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

mke huyo...sasa hao ndio wake wakuoa mwanawane...unakuta kitu sealed bado sio watu walishakojolea mpaka basi
 
Patience is good pia pray to ur God ili umfikiriavyo ndio awe hivyo
 
Huyo dada ana akili sana! If you trully love her utavumilia lakini kama sio bikra ujue unaibiwa!
 
mbuzi-mbuzi-mbuzi-mbuzi a.k.a kagegedwa mpaka kachoka so, hanawasiwasi na wewe usije ukagegeda ukasepa!. komaa nae mkuu.
 
Safi mkuu, I like that. Unajua hata bible imeandika aziniye na mwanamke hana akili. Huyo anakufanya uwe na akili.
 
Nilichomaanisha sio kuwa amkomoe,bali amuheshimu na aheshimu maamuzi ya msichana. Na yeye pia ahakikishe kuwa msichana naye anaheshimu maamuzi yake.
 
Kwa jinsi mabinti wa siku hizi walivyo, angekuwa sio bikira angedengua siku ya kwanza na ya pili. Baada ya hapo usipochangamkia angekubaka. Huyo wa kuoa, walau ameweza kukuresist.
 
Habari zenu wakuu.

Nina rafiki yangu wa kike ambae ninampenda sana. Tupo kwenye mahusiano kwa miezi minne sasa. Mahusiano yetu ni mazuri, ila kila nikimuomba tushirikiane faragha (yaani kufanya mapenzi) anakataa na kusisitiza mpaka tuoane.

Nampenda ila pia nahitaji anipe penzi lake faragha. Naomba mnishauri, nifanye nini?

nitumie namba zake niongee nae halafu nitakushauri vizuuuuuuuuuuri, sawa eh?
 
Back
Top Bottom