OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,247
- 103,953
Mwanamke anayejidhalilisha kwa kuvaa vibaya
Napotoka na shemeji yenu nakuwa siko huru kabisa. Ukiwa naye kwenye party au event fulani ni hatari zaidi hataki kabisa niangalie pembeni.
Nimeshamwambia napoangalia wanawake wapembeni yetu sio kwamba nawatamani isipokuwa nawashangaa walivyovaa nusu uchi,nawashangaa wanavyojidhalilisha
Ieleweke sio kila mwanaume anapotazama wanawake wanaopita machoni mwake basi anatamaa lah hasha,wengine tunakua wakushangaa mambo yanayoendelea duniani