Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,458
- 115,613
Ndio hivyo Kaka.Hahahaha, aisee
Ndio hivyo Kaka.Hahahaha, aisee
Hahaaaa. Ilinichukua muda ila namshukuru Mwenyezi Mungu kwani yale huwa nayaita mawazo mgando sababu twende mbele na nyuma hata mie naweza muona mkaka kapendeza na kashingo kangu nikakageuza na baada ya hapo naendelea na safari zangu pasi hata kukumbuka nini niliona. Hahaaaa.Huo ndo ukweli kabisa nakupongeza kwa kujua hilo mapema
Hahaaaa. Ipo mizigo ya kuchunga Kaka ila kama hii yenye ndevu huwa inajichunga yenyewe.Hahahahaha, Sister abiria chunga mzigo ukipotea konda hahusiki.
Hayo ndo maneno hongera sana na wenzako waige mfano huuHahaaaa. Ilinichukua muda ila namshukuru Mwenyezi Mungu kwani yale huwa nayaita mawazo mgando sababu twende mbele na nyuma hata mie naweza muona mkaka kapendeza na kashingo kangu nikakageuza na baada ya hapo naendelea na safari zangu pasi hata kukumbuka nini niliona. Hahaaaa.
Hahaaa. Wenye kuweza waige tu Mkuu sababu mie naiona ni moja ya njia ya kufanya niishi kwa amani na kuwa na uwezo wa kuenda popote kwenye wanawake wa aina yeyote nikakaa kama sehemu ya kukaa na walaaa roho yangu isinipae sababu najua mwisho wa siku ni wangu yule na nitaondoka naye wale tutawaacha pale pale hivyo ageuze tu shingo mbaya ni kuvuka mipaka ila kama ni kuangalia neema aangalie tu kwa kweli.Hayo ndo maneno hongera sana na wenzako waige mfano huu
Yeah hiyo ni nzuri aangalie tu basiHahaaa. Wenye kuweza waige tu Mkuu sababu mie naiona ni moja ya njia ya kufanya niishi kwa amani na kuwa na uwezo wa kuenda popote kwenye wanawake wa aina yeyote nikakaa kama sehemu ya kukaa na walaaa roho yangu isinipae sababu najua mwisho wa siku ni wangu yule na nitaondoka naye wale tutawaacha pale pale hivyo ageuze tu shingo mbaya ni kuvuka mipaka ila kama ni kuangalia neema aangalie tu kwa kweli.
Kikubwa kujikubali na kujiamini baasi. Hahaaa.
Vp lakini Mkuu na weye ndio unaiendeleza hii mnayoita kawaida yenu au wewe una kaunafuu katika kugeuza shingo yako? Hahaaaaa.Yeah hiyo ni nzuri aangalie tu basi
Unatakiwa uangalie Mara moja ukigeuka second round ndio problemNdio upunguze sasa Mkuu.
Ila kiukweli kugeuza shingo ni ugonjwa unaowasumbua wanaume walio wengi sana.
Hakuna cha unafuu huwa nageuka sana na kumshukuru Mola kwa uumbaji ila nikiwa na wifi yako huwa najizuia kidogo japo hajawahi niambia kuhusu kugeuka geukaVp lakini Mkuu na weye ndio unaiendeleza hii mnayoita kawaida yenu au wewe una kaunafuu katika kugeuza shingo yako? Hahaaaaa.
Anasaga matoborwa huyuWewe lazma utakuwa msagaji
Hahaaaaa. Yaani mkiandika hivi huwa kama wanaona aiseeee.Unatakiwa uangalie Mara moja ukigeuka second round ndio problem
Hahaaaaa. Nafuu yako unajua kujizuia ila wengine mmh.Hakuna cha unafuu huwa nageuka sana na kumshukuru Mola kwa uumbaji ila nikiwa na wifi yako huwa najizuia kidogo japo hajawahi niambia kuhusu kugeuka geuka
Kumbe unaumia ila ndio vile unakufa kijerumani na tai shingoniHahahaaa. Ila inatakiwa mpunguze sababu hamjui namna tunavyoumia.
Hakuna namna,mi mpaka shungi nageukaHahaaaaa. Yaani mkiandika hivi huwa kama wanaona aiseeee.
Haya bana geukeni tu.
Hahahaaa. Nimeshajifunza kuzowea sasa hivyo walaaa sina Presha kwa kweli. Hivyo geukeni tu.Kumbe unaumia ila ndio vile unakufa kijerumani na tai shingoni
Hahaaaa. Kwani Shungi zinazuia nini?Hakuna namna,mi mpaka shungi nageuka
Uzoefu wangu shungi nyingi ndani Mororo, ngoja nisiseme mengine hapa.Hahaaaa. Kwani Shungi zinazuia nini?
Hajari jimbo lina mbunge? Nataka nikachukue fomuHahahaaa. Nimeshajifunza kuzowea sasa hivyo walaaa sina Presha kwa kweli. Hivyo geukeni tu.
Wacha weeeee.Uzoefu wangu shungi nyingi ndani Mororo, ngoja nisiseme mengine hapa.