Hata wanyama wana dini.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Nyumba moja ilikuwa na panya wasumbufu wengi sana.Ili kuondokana na adha ya wale panya,jamaa wakatafuta nyama ya nguruwe,wakaipaka sumu kisha wakaitega ili panya wale.Walipoamka asubuhi wakakutana na karatasi imeandikwa;sisi sote ni waislamu hatuli kitimoto!
 
Nice!!!
Unanikumbusha stori ka hiyo, panya pia walitegewa nyama, siku iliyofuata hiyo nyama ilikuwa hivyo hivyo, wakakuta kikaratasi panya wameandika "Sisi ni Marasta hatuli nyama"
 

...bila shaka ni Suni hao!!
 
Teh teh teh, siku nyingine atakuta karatasi. "Chakula cha jana kibaya"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…