jamani tuwe wakweli, kwa wanaofuatilia bunge wanakubali kuwa wabunge wa chadema ndio watetezi wakubwa wa watanzania. sio kwamba watz hawaoni kuwa tatizo lao ni namba tu. kuna mwanamagamba ninae hapa ameamua kujiunga chadema kwa maelezo kwamba kikubwa unahitaji maslahi yako yatetewe na kama magamba hawawakilishi maslahi yake kwanini aendelee kuwaunga mkono? nawauliza magamba, una uhakika maslahi yako yanatetewa na magamba?