Hata wamachinga sasa wanasifia usafi wa mitaa

Jiwe alikuwa mshamba sana legacy fake inayayuka mithili ya jibini Juan!!!
Bila shaka inayeyushwa na migao ya umeme, upandaji bei holela na ubabaishaji ambao taratibu unashika kasi.
 
Bila shaka inayeyushwa na migao ya umeme, upandaji bei holela na ubabaishaji ambao taratibu unashika kasi.
Ukame na corona sio kosa la serikali, tuwe wakweli. Huwa nina tabia ya kufanya ulinganifu na nchi nyingine za kikanda na kidunia. Sisi sio kisiwa.
 
Ukame na corona sio kosa la serikali, tuwe wakweli. Huwa nina tabia ya kufanya ulinganifu na nchi nyingine za kikanda na kidunia. Sisi sio kisiwa.
Hii corona imeanza juzi tu au ndio kichaka cha kujifichia!? Kama corona ni kisingizio basi jua kuwa kuna watu wamegeuka machinga baada ya makampuni waliyokuwa wanafanya kazi kufungwa. Binafsi nawafahamu wadada wawili. Hizo pesa za corona mnazoomba omba huko nje zimewasaidia nini!?
 
Hii corona imeanza juzi tu au ndio kichaka cha kujifichia!? Kama corona ni kisingizio basi jua kuwa kuna watu wamegeuka machinga baada ya makampuni waliyokuwa wanafanya kazi kufungwa. Binafsi nawafahamu wadada wawili. Hizo pesa za corona mnazoomba omba huko nje zimewasaidia nini!?
Hizo ni pesa ambazo zilitolewa kwa nchi zote hata bila kuziomba. Tz tulichelewa kuzipata kwakuwa tulisemaga hatuna Corona. Mama alivyoingia akakiri kuwa hata sisi tz tuna corona, ndio akapewa.
 
Ishu hii haina tofauti na kile kitabu pendwa mashuleni
"this time tomorrow". Inasikitisha

Wewe huna tofauti na inspector kiongo.
 
Hizo ni pesa ambazo zilitolewa kwa nchi zote hata bila kuziomba. Tz tulichelewa kuzipata kwakuwa tulisemaga hatuna Corona. Mama alivyoingia akakiri kuwa hata sisi tz tuna corona, ndio akapewa.
Nimeuliza hizo pesa za corona zimewasaidia nini walioumizwa kiuchumi na corona!? Hizo porojo za eti tulichelewa kupewa ni upuuzi tu. Huko mnakoimba omba fedha, wanayasaidia makampuni yaweze kusimama tena na kuajiri. Ninyi hizo pesa mmefanyia nini!?
 
Nimeuliza hizo pesa za corona zimewasaidia nini walioumizwa kiuchumi na corona!? Hizo porojo za eti tulichelewa kupewa ni upuuzi tu. Huko mnakoimba omba fedha, wanayasaidia makampuni yaweze kusimama tena na kuajiri. Ninyi hizo pesa mmefanyia nini!?
Tumegawana na Zanzibar. Kwani zile pesa za tetemeko la kagera zilienda kwa wqliokumbwa na tetemeko?
 
Nimeuliza hizo pesa za corona zimewasaidia nini walioumizwa kiuchumi na corona!? Hizo porojo za eti tulichelewa kupewa ni upuuzi tu. Huko mnakoimba omba fedha, wanayasaidia makampuni yaweze kusimama tena na kuajiri. Ninyi hizo pesa mmefanyia nini!?
Wamejengea madarasa na zahanati!!!
 
Nimeuliza hizo pesa za corona zimewasaidia nini walioumizwa kiuchumi na corona!? Hizo porojo za eti tulichelewa kupewa ni upuuzi tu. Huko mnakoimba omba fedha, wanayasaidia makampuni yaweze kusimama tena na kuajiri. Ninyi hizo pesa mmefanyia nini!?
kwahiyo wewe ulitaka wanunuliwe mihogo na kachumbali wapewe wamachinga?
 
Mimi nilitaka upewe wewe na mumeo ziwasaidie.
mna siasa dhaifu sana nyie. Kuwatafuta mtu mmoja mmoja aliyeathiriwa na korona ingekuwa kazi ngumu sana. Pesa hizo unadhani zingetosha kupewa watu, viwanda, makampuni na taasisi ngapi ambazo zimeathiriwa na ugonjwa wa corona? Pesa hizi zinajenga shule, zahanati, na kusambaza maji kwa watanzania wa bara na visiwani ambako watanzania wote watafaidika leo, kesho na kesho kutwa.
 
Tumegawana na Zanzibar. Kwani zile pesa za tetemeko la kagera zilienda kwa wqliokumbwa na tetemeko?

mna siasa dhaifu sana nyie. Kuwatafuta mtu mmoja mmoja aliyeathiriwa na korona ingekuwa kazi ngumu sana. Pesa hizo unadhani zingetosha kupewa watu, viwanda, makampuni na taasisi ngapi ambazo zimeathiriwa na ugonjwa wa corona? Pesa hizi zinajenga shule, zahanati, na kusambaza maji kwa watanzania wa bara na visiwani ambako watanzania wote watafaidika leo, kesho na kesho kutwa.
Siasa dhaifu wanazo wanaowabambikizia kesi za ugaidi wapinzani wao wa kisiasa.
 
Taratibu tutafika ila wajasirimali najua magumu wanayoyapitia katika kipindi hiki cha mpito
 
Taratibu tutafika ila wajasirimali najua magumu wanayoyapitia katika kipindi hiki cha mpito
Ni kweli kabisa. Ki uhalisia umachinga ungetakiwa uratibiwe na urasimishwe na kuwekewa kanuni na vigezo maalum.

Umachinga ungepaswa uwe ni kipindi cha mpito tu kwa vijana wasiokuwa na mitaji wala ajira baada ya kumaliza shule na vyuo kabla ya kuhamia kwnye maeneo rasmi ya kikodi. Lakini kwasasa hivi umachinga ni vurugu tu, kuna watu ninawafahamu wanafanyabiashara ya umachinga kwa miaka 21 sasa eneo lilelile la posta kwa miaka wanauza mitumba sehemu isiyo rasmi, hataki kuhamia sehemu nyingine akalipe kodi ili vijana wengine pia waanzie hapo baada ya kumaliza shule. KUna mchinga mzee kabisa wa miaka 52 lakini nae anapanga chini bidhaa njia za waenda kwa miguu. Kuna watu ambao wana ajira zao nzuri tu serikalini lakini wamewaleta vijana kutoka vijijini kuja kuwafungulia biashara kando ya barabara kukaanga chips na kuuza pop cons. Kuna mtu namfahamu amenunu gari 3 aina ya noah na kuzitoa viti vyote na kuyaegesha kando ya barabara za waenda kwa miguu na service roads na kupanga bidhaa ndani ya gari kama stoo na vingine kuuza. Hivyo, anaepiga kelele kuhusu kuondolewa machinga hajui afanyalo.

Pale Buguruni wanajenga tena vibanda vya mbao katikati ya njia za waenda kwa miguu, tena wafanyabiasha wenye mitaji mikubwa inayotosha kufungua duka.
 
Miji imependeza kabisa
Hapa dar badoo sanaaa,
Kero za malori kariakoo ni nyingi kuliko za wamachinga kwa ujumla wamachinga kariakoo wameonewa tu
Kero hasa ni malori na ofisi za usafirishaji
Hadi barabarani wanamwaga mizigo hadi watembea kwa miguu wanapita kwa tabu
Ila nasikia hawa ndio mabosi wenyewe so hakuna wa kuwagusa
Nchi yetu sotee hii jamani
 
Back
Top Bottom