Nikiwa nimepotelewa mali zangu, nikaenda kuripoti polisi, nikapewa utaratibu wote lakini ilipofika wakati wa kuonana na mhasibu wa kituoni - nakutana na janga hili ... "Vitabu vya risiti vimeisha - nenda kituo kingine jirani"
Hivi tunaelekea wapi? Si hilo tu naskia hata hati za kusafiria ni kitendawili ... karatasi za kuduruza nyaraka bungeni kitendawili ... mbona mwelekeo hauonekani jamani?