Hahaha! Nilidhani unaongea na mkeo.Juzi nasikia uliwakatikia watu bar, jana ukamkatikia bosi ofisini, leo umenikatikia mimi chumbani sijui una matatizo gani. Jamani huu UMEME!!!!!
mie umenikatikia leo bafuni!kazi kweli yaani..
makubwa!!
mie umenikatikia leo bafuni!kazi kweli yaani..
ukikutana na muuza madafu utampa jibu gani wakati ukiwa unanunua dafu alafu akakuuliza "Dafu ukatiwe ama uchokorowe"?
Kukatikakatika umeme sio habari. Muujiza tanzania ni umeme kutokukatika.
ukikutana na muuza madafu utampa jibu gani wakati ukiwa unanunua dafu alafu akakuuliza "Dafu ukatiwe ama uchokorowe"?
ukikutana na muuza madafu utampa jibu gani wakati ukiwa unanunua dafu alafu akakuuliza "Dafu ukatiwe ama uchokorowe"?
ni kama uko buchani ukasema nikatie kiuno.
Serious, leo umenikatikia nikiingia kwa ofisi