Hata siamini kama nimenasa

Hata siamini kama nimenasa

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari zenu wapendwa, leo bana Kasinde kanasa ndani ya State ya Obama, loooh siamini kama nimenasa la la laaaah daaah!! msinicheke jamani maana najua nilijigamba sana. Wacha niwaelezee mkasa mzima ilikuwaje.....

Leo asubuhi nilipoamka ofcourse niliamka late kwasababu ya kubundi jana usiku. Baada ya mishuhuliko ya kutwa nzima jioni nilienda jogging kama kawaida na niliporudi home kwa mwenyeji wangu nilikuta anawageni wa kiume 3.

Nikawasalimu kwa haraka maana nilikuwa na majasho. Nilipotoka kuoga wakasuggest tukale out in a restaurant, nikauramba mbeibe nikatoka. On the dinner one of the friends wa rafiki yangu akawa so busy na mie yaani on reading adults mind alinidondokea.

Mie nikawa kimya kuona karata zitaishiaje. After dinner alipoona sielekei akamseti mwenyeji wangu ili atoke kisha yeye anirudie, huyo mkaka anaitwa Sean, nikiwa nimejiandaa kupopo mwenyeji wangu akaniambia leo hatoki hivo ananiachia rafiki yake nisiwe na wasiwasi.

Machale yakancheza ila nikasema am Kasinde I can make it, tukatoka club moja hivi iko mbali na tunapokaa maana tuliendesha umbali mrefu, nkamwambia naomba nirudishe nikalale u know what he say, be my guest akanishika mkono hadi kwenye gari yake na stendi ya kwanza ilikuwa home kwake.

Niliposhuka nikamwambia hapa sio home maana nyumba yake iko tofauti kidogo, akasema pls naomba leo ulale hapa ntakupa room yako na asubuhi nakurudisha home.

Hapo kichwani nina kanywaji... na uchovu wa kucheza sikubisha nikaingia ndani ila nikamwambia bora nirudi home coz nguo za kubadili sina na mie nimezoea kulala bila nguo, kumbe ndo nazidi kuharibu. Sean alivosikia hivo hakuweza kuvumilia alinifata akanihug kwanguvu tightly, kisha long romance ikafata then...😛eep: :behindsofa: he got me damn man!!!

Kasinde has loose the nut and he untie the screws aaagghh, sasa sijui asubuhi itakuwaje, nikasirike au niendeleze mshono? Ila the game was sweet and marvelous.

I darely to speak fo long I didn't get such a rub. Wacha nirudi kulala maana nimechomoka kama naenda toilet, hapa namuangalia Sean kalala he is cute and gentle, sijui nirudi nae bongo huyu? Sijui nimpagawishe na zile chejo za kinyamwezi.

Nikiamka salama ntawapa full mkanda kuhusu mwenyeji wangu, kuna kitu nimekigundua ambacho nacho kimentia mashaka. Saa hizi huku ni saa tisa usiku bye wapendwa, kesho.

Love u alll, shida yangu napenda sana kusimulia na siwezi kuweka kitu moyoni yaani nikisimulia kitu naskia rahaaa, so naomba mnivumilie tuu jamani, love u much!!

Ila jiulize, is it true Kasinde is in love or it just happen?? ngoja pakuche!!

MORE UPDATES:

Tuliamka kama saa tano asubuhi nikaenda kuoga and the guy gave me his t-shirt, it was long so I wear it like a short gown. He prepared a breakfast for me and then he take me back home.

Nilipofika home, nimemkuta mwenyeji wangu bado yuko na wale rafiki zake wengine 2. Basi tukawa tunastorisha and had drinks wakati wanaangalia mechi, mida mida mi nikawaacha nikaenda room.

Jioni hii ni saa kumi na moja saizi natoka room nimekuta wanaangalia mpira kati ya costa rica na greece, mwenyeji wangu akaniambia Sean anataka kuonja mapishi ya Tanzania so if you wont mind please lets have dinner at home today cooked by Kasinde!!!

Hapa nimeandaa kuwapikia milo mitatu, pilau, ugali na ndizi za kupika, pembeni naweka kuku wa kukaanga na kachumbari na fruit salad. I hope they will enjoy the meal, mboga ya ugali nimeweka sosi la mabiringanya, karoti, hoho, pilipili and other spices.

Pilau ndani lina nyama ya ng'ombe nimekaanga na dagaa wabichi pembeni kama nyongeza ya mboga ya kulia ugali. Nataka niwafundishe kula ugali ukiwashinda kula siku ingine hawataniambia niwapikie tena looh, ila wakikipenda chakula cha TZ itakuwa ndo chef wao hadi niondoke looh.

Since nimeondoka kwa Sean hatujaongea lolote but he kissed me again this afternoon, ila leo nimepanga sitoki nikishakula na kufanya usafi wa jikoni, naoga nawatch movie hawanioni hadi kesho, I wonder Sean akisema hatoki naye anabaki kuwacht movie.

luv u guys, the love scene btw Kasinde and Sean I dont think if it will last, coz my mind has come back...I think yesterday I loose some of them while dancing.
 
Inamaana marekani washaamka saizi tayari ...??? Hii itakuwa ni marekani ya kule buguruni malapa.

unaelewa kusoma kiswahili au niandike kichina? Nimesesa saa hizi ni saa tisa usiku, yaani usiku wa manane, umenipata kijana??!!!
 
Ukipata ukimwi ndio utajua kuwa ilikuwa tamu au chungu!! hopefully jamaa alivaa ndomu na kama hakuvaa sababu ya kilaji,too bad!!
 
Sidhani kama hata condom ulitumia!Na utakapoanza kukohoa na kuharisha uje kutupa mrejesho.
Sign out:
 
Ukipata ukimwi ndio utajua kuwa ilikuwa tamu au chungu!! hopefully jamaa alivaa ndomu na kama hakuvaa sababu ya kilaji,too bad!!

Nilipotoka bongo kwenye pochi yangu niliweka pakti 3 za ndom -kamasutra in case of, and the case happen. I take precaution and I protect myself and himself, though ndom haizuii KIMWI for 100% but atleast reduce STDs, not that much bad
 
Wanaume tuna sheeedar, hivi Kuna mtu atakuja atoe posa hapo, apigwe mahari ya 10M (kule kwenu ni Kama $6,000) kwa vile mtoto wao kajitunza na ana heshima..!
....one night stand hiyo, Kasinde Una kaaazy!!
 
Last edited by a moderator:
Nilipotoka bongo kwenye pochi yangu niliweka pakti 3 za ndom -kamasutra in case of, and the case happen. I take precaution and I protect myself and himself, though ndom haizuii KIMWI for 100% but atleast reduce STDs, not that much bad

Mosi:Ulikuwa umepata kinywaji mpaka ukashindwa kukataa kurudi nyumbani.
Pili:Haikuwa mmepanga kufanya mapenzi(kwa mujibu wako mwenyewe kuwa alikurukia ghafla akakukumbatia mkaanza kugegedana).
Tatu:Ulijuaje kama unaenda kugegedwa mpaka ubebe condom.
Hebu tuanzie hapo kwanza!
 
Wanaume tuna sheeedar, hivi Kuna mtu atakuja atoe posa hapo, apigwe mahari ya 10M (kule kwenu ni Kama $6,000) kwa vile mtoto wao kajitunza na ana heshima..!
....one night stand hiyo, Kasinde Una kaaazy!!

oohh really, and who told you that I wanna be pain that bride price, am not gonna get married though I loose mu nuts today doesn't mean that am gonna get married nop nah, mna kazi nyie mnaotafuta wake, mbona wako wengi wanaotafuta kuolewa but not me, as my theme here is kula life, anyaways in the morning ndo ntajua whether nikaze nuts zangu au nizilegeze to Sean but marriage is a vocabulary that is not in my dictionary, get it!!
 
Mosi:Ulikuwa umepata kinywaji mpaka ukashindwa kukataa kurudi nyumbani.
Pili:Haikuwa mmepanga kufanya mapenzi(kwa mujibu wako mwenyewe kuwa alikurukia ghafla akakukumbatia mkaanza kugegedana).
Tatu:Ulijuaje kama unaenda kugegedwa mpaka ubebe condom.
Hebu tuanzie hapo kwanza!

Am an adult, sighns of love making is noticed at earliest stage, nimetoka bongo na pochi hiyo na ndo natembea nayo kila nikitoka, ndani ina nyaraka zangu muhimu za kuhalalisha ukaaji wangu huku state pamoja na ndom. So nilipoona mji yamezidi unga I just ask for a chance to let him wear it and we proceed, kuwa na kinywaji kichwani it doesnt mean you can not control urself, if u cant its u, for me I can na kichwa yangu ikarekodi matukio yote
 
Habari zenu wapendwa, leo bana Kasinde kanasa ndani ya State ya Obama, loooh siamini kama nimenasa la la laaaah daaah!! msinicheke jamani maana najua nilijigamba sana. Wacha niwaelezee mkasa mzima ilikuwaje.....

Leo asubuhi nilipoamka ofcourse niliamka late kwasababu ya kubundi jana usiku. Baada ya mishuhuliko ya kutwa nzima jioni nilienda jogging kama kawaida na niliporudi home kwa mwenyeji wangu nilikuta anawageni wa kiume 3. Nikawasalimu kwa haraka maana nilikuwa na majasho. Nilipotoka kuoga wakasuggest tukale out in a restaurant, nikauramba mbeibe nikatoka. On the dinner one of the friends wa rafiki yangu akawa so busy na mie yaani on reading adults mind alinidondokea. Mie nikawa kimya kuona karata zitaishiaje. After dinner alipoona sielekei akamseti mwenyeji wangu ili atoke kisha yeye anirudie, huyo mkaka anaitwa Sean, nikiwa nimejiandaa kupopo mwenyeji wangu akaniambia leo hatoki hivo ananiachia rafiki yake nisiwe na wasiwasi. Machale yakancheza ila nikasema am Kasinde I can make it, tukatoka club moja hivi iko mbali na tunapokaa maana tuliendesha umbali mrefu, nkamwambia naomba nirudishe nikalale u know what he say, be my guest akanishika mkono hadi kwenye gari yake na stendi ya kwanza ilikuwa home kwake. Niliposhuka nikamwambia hapa sio home maana nyumba yake iko tofauti kidogo, akasema pls naomba leo ulale hapa ntakupa room yako na asubuhi nakurudisha home. Hapo kichwani nina kanywaji... na uchovu wa kucheza sikubisha nikaingia ndani ila nikamwambia bora nirudi home coz nguo za kubadili sina na mie nimezoea kulala bila nguo, kumbe ndo nazidi kuharibu. Sean alivosikia hivo hakuweza kuvumilia alinifata akanihug kwanguvu tightly, kisha long romance ikafata then...😛eep: :behindsofa: he got me damn man!!! Kasinde has loose the nut and he untie the screws aaagghh, sasa sijui asubuhi itakuwaje, nikasirike au niendeleze mshono??!!! Ila the game was sweet and marvelous, I darely to speak fo long I didn't get such a rub. Wacha nirudi kulala maana nimechomoka kama naenda toilet, hapa namuangalia Sean kalala he is cute and gentle, sijui nirudi nae bongo huyu....??? Sijui nimpagawishe na zile chejo za kinyamwezi...!!!

Nikiamka salama ntawapa full mkanda kuhusu mwenyeji wangu, kuna kitu nimekigundua ambacho nacho kimentia mashaka. Saa hizi huku ni saa tisa usiku bye wapendwa, kesho.
Love u alll, shida yangu napenda sana kusimulia na siwezi kuweka kitu moyoni yaani nikisimulia kitu naskia rahaaa, so naomba mnivumilie tuu jamani, love u much!!
Ila jiulize, is it true Kasinde is in love or it just happen?? ngoja pakuche!!

hiyo ndio kazi iliyokupeleka kwa obama
 
oohh really, and who told you that I wanna be pain that bride price, am not gonna get married though I loose mu nuts today doesn't mean that am gonna get married nop nah, mna kazi nyie mnaotafuta wake, mbona wako wengi wanaotafuta kuolewa but not me, as my theme here is kula life, anyaways in the morning ndo ntajua whether nikaze nuts zangu au nizilegeze to Sean but marriage is a vocabulary that is not in my dictionary, get it!!

Kumbe wataka kukaza nuts zako kwa Sean?? You heading just there..! Hivi huyu jamaa ni blackie au umeonja whitie for the first time?..
...kula ujana, ila wenzako wakienda huko wanabeba box maisha yanyooke, bata wanakula wakiwa huku tu.
 
Wanaume tuna sheeedar, hivi Kuna mtu atakuja atoe posa hapo, apigwe mahari ya 10M (kule kwenu ni Kama $6,000) kwa vile mtoto wao kajitunza na ana heshima..!
....one night stand hiyo, Kasinde Una kaaazy!!
Aisee unaweza kuta huyo ndo mchumba wa mtu mwingine,imagine hapa anamsifia mchepuko wake na baadaye akirudi kwa jamaa blaa bllaa ur so sweet,I love u !
 
Last edited by a moderator:
Kweli umesema,hakutaja hiyo kitu kabisa au huko mamtoni hakuna mdudu???
Ukipata ukimwi ndio utajua kuwa ilikuwa tamu au chungu!! hopefully jamaa alivaa ndomu na kama hakuvaa sababu ya kilaji,too bad!!
 
Maskini weee yani umetafunwa siku ya kwanza kirahisi namna hiyo????? Labda sijakuelewa Kasinde....

Au ndo alikuwa mwenyeji wako from the first day?
Au ilikuwa one of your ambitions ku date na niggas from the state???
By the way, wish all the best yaweza kuwa ndo mtoko huo komaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom