Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Formula yangu ipo hivi yaani hata nikimtumia Demu shilingi hamsini huwa naandika kwenye kitabu changu cha kumbukumbu,kabla na hata ya dating,ikifika tu laki moja(100000)imetumika chini ya miezi sita basi nakupiga chini maana hufai kwa afya ya uchumi wangu na maendeleo yangu kwa ujumla!
Unadhani Simu used napata faida bei gani?
Noted
Unadhani Simu used napata faida bei gani?
Noted