Vijana wanataga kugombea ubunge. Udiwani halafu mnawabania kwani chama hakishiriki.
Hata mimi ningalihama chadema kipindi hichi
Ukisha uchaguzi wote hao watarudi chadema kama alivyorudi Dr Slaa.
Wapinzani wa Zanzibar Pekèe yao ndio roho ya paka katika siasa za upinzani
Lkn hawa wanaohama sasa chadema inaonekana wanapigania maslahi binafsi ya ntu mmoja mmoja yaani njaa ndio zinawasumbua
Hata mimi ningalihama chadema kipindi hichi
Ukisha uchaguzi wote hao watarudi chadema kama alivyorudi Dr Slaa.
Wapinzani wa Zanzibar Pekèe yao ndio roho ya paka katika siasa za upinzani
Lkn hawa wanaohama sasa chadema inaonekana wanapigania maslahi binafsi ya ntu mmoja mmoja yaani njaa ndio zinawasumbua