Hata mbuyu ulianza kama mchicha

Hata mbuyu ulianza kama mchicha

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Bora niitwe baba mwenye nyumba na baba mwenye gari kwa kuanza kujenga chumba kimoja.

FB_IMG_16422668201520975.jpg
 
Hizi purukushani za Bi Mikopo zimeanza kuwafumbua macho raia wengi. Hadi 2025 watu watakuwa wanatembelea praiveti jeti ama chopa. Anyways, kila ^mbuzi^ ale kulingana na urefu wa kamba yake. Ukiona kamba yako ni fupi, basi kasokote uongezee.
 
Hapo chumba kimoja tayari baadae atachimba tena msingi aunge ukuta zaidi hadi nyumba iishe😁😁
Naambiwa huku kwamba hiyo ni ofisi ya mlinzi litakapokuwa geti kubwa; nyumba main yenyewe msingi ndio huo hapo pembeni. Huu ubunifu Marekani yote anauweza Elon Musk mwenyewe.
 
Back
Top Bottom