Hata madogo nao wanapiga 'chabo'!

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
Huyu dogo ana makengeza au anajua anachokifanya?
 

Attachments

  • chabo.jpg
    32.6 KB · Views: 1,239
watoto wa karne hii ya sayansi na teknolojia si sawa na wale wa miaka ya '70. Hawa wanafunguka macho na akili mapema. mmmmh, kanashangaa tu.
 
wee mtoto angalia hiyo kamera, na sio kuchungulia manynyo ya huyo dada
 
Hawa wenye makengeza huwa wananichanganya sana uaweza fikiri anaangalia pembeni kumbe anakuangalia.
 
Unajua watoto siku hivi wanakula arv ndio maana wanakuwa wakubwa na mambo ya kikubwa kwani sio tanzania mikuku inapewa arv hata ulaya imo hii faulo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…