Hata kwa mtutu wa bunduki

Hata kwa mtutu wa bunduki

Midundo

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
58
Reaction score
12
Kwa uzoefu wangu, mwanamke ni kiumbe ambaye hawezi kukiri kuwa katembea na mtu mwingine hata kwa mtutu wa bunduki, yupo radhi kufa ila sio kufungua kinywa, labda umkute on spot na tena umpige na picha kama ushahidi na still anaweza kusema imetengenezwa. Nasema hivi mana kuna jamaa ofisini hapa amegundua mkewe anatembea na jamaa wawili nje ya ndoa, wana watoto wawili tena wadogo, jamaa anashindwa achukue maamuzi gani mana mwanamke alikana kata kata na jamaa ana picha za mkewe akiliwa na mmoja wa hao jamaa.....swali langu ni hivi, kwanini wanawake huwa hawakubali matokeo, angali mwanaume akiona kimenuka fasta atakiri ukweli
 
Hata wanaume hawakubali ati...
 
Mmmh!ngumu Kumeza! Una Watoto Wawili Wadogo,halafu Unatembea Na Wanaume Wawili Nje Na Mumeo Ndani! Phuuuu! Labda Uniambie Hafanyi Nao Mapenzi Kisawasawa! Jamani Kwa Mapenzi Haswaaa,huwezi Kumudu!
 
Mmmh!ngumu Kumeza! Una Watoto Wawili Wadogo,halafu Unatembea Na Wanaume Wawili Nje Na Mumeo Ndani! Phuuuu! Labda Uniambie Hafanyi Nao Mapenzi Kisawasawa! Jamani Kwa Mapenzi Haswaaa,huwezi Kumudu!

wengine hawaingii ktk muhusiano kufuata mapenzi: kuna mambo mengi sana yanaweza kumuingiza mtu ktk mahusiano, mfano; pesa, upelelezi, kukomoa na hata kusambaza magonjwa. Tafakari!
 
Kwa uzoefu wangu, mwanamke ni kiumbe ambaye hawezi kukiri kuwa katembea na mtu mwingine hata kwa mtutu wa bunduki, yupo radhi kufa ila sio kufungua kinywa, labda umkute on spot na tena umpige na picha kama ushahidi na still anaweza kusema imetengenezwa. Nasema hivi mana kuna jamaa ofisini hapa amegundua mkewe anatembea na jamaa wawili nje ya ndoa, wana watoto wawili tena wadogo, jamaa anashindwa achukue maamuzi gani mana mwanamke alikana kata kata na jamaa ana picha za mkewe akiliwa na mmoja wa hao jamaa.....swali langu ni hivi, kwanini wanawake huwa hawakubali matokeo, angali mwanaume akiona kimenuka fasta atakiri ukweli

mi nipo kinyume na wewe kabisaa... Mwanamke kama ukimbana sana anasema kuliko mwanamme. Women can not keep secret.. Atakataa lakini mwisho wasiku atakubali mwenyewe. Nadhani huyo mumewake alikuwa anamuuliza kwa kumbembeleza sana.
 
Hata mie siwezi kubali na sitakubali

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hata wanaume hawakubali ati...


Mkuu Tuko

Wanaume weupe, akibanwa anakubali haraka haraka, Adamu alipo kula lile tunda na kwa hofu akajificha baada ya kibano

kutoka kwa mungu chapchap akasema si huyu mwanamke ulonipa!

Pamoja mkuu.
 
Last edited by a moderator:
mi nipo kinyume na wewe kabisaa... Mwanamke kama ukimbana sana anasema kuliko mwanamme. Women can not keep secret.. Atakataa lakini mwisho wasiku atakubali mwenyewe. Nadhani huyo mumewake alikuwa anamuuliza kwa kumbembeleza sana.

Jamaa anampenda mkewe kama kitu gani sijui, na kazi zetu ni za research, mara nyingi tupo vijijini ila huwezi mwona jamaa na mwanamke aisee, jamaa anachemka kazi mpaka amepewa warning letter, imembidi amweleze boss ukweli ndo tulipojua linaloendelea, sasa jamaa anataka wapeleke watoto kwa mama yake amwache mwanamke aendelee na maisha yake, hadi huruma arifu!!
 
Jamaa anampenda mkewe kama kitu gani sijui, na kazi zetu ni za research, mara nyingi tupo vijijini ila huwezi mwona jamaa na mwanamke aisee, jamaa anachemka kazi mpaka amepewa warning letter, imembidi amweleze boss ukweli ndo tulipojua linaloendelea, sasa jamaa anataka wapeleke watoto kwa mama yake amwache mwanamke aendelee na maisha yake, hadi huruma arifu!!

dah! Kumbe yameshakuwa hayo... Mpe pole sana jamaa, ni bora achukue huo uamuzi haraka asije akapata presha huko mbele buree
 
mwanaume hata akikubali
hawezi pewa talaka bali atasamehewa na mkewe
mwanamke akikubali ndoa hana,sasa nikubali niachwe?
aaakuuuuuu!nakufa na tai shingoni hahaa!
na huyo mwanaume atakua msaliti ndio maana mke kaamua
kufanya na yeye,midume mnafaa basi?!aaaaghhhh!

 
Talaka ni suluhisho, lakini kwanza azingatie malezi na ustawi wa hao watoto.
 
Mh kaka pole huyo sio wife material kwa kweli jamani mapenz ni mchezo wa ajabu wengine wanatamani wangekuwa na huyo kaka mstaarabu wakati yeye kashachoka anaona wa nini mwee haya that's love

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wengine hawaingii ktk muhusiano kufuata mapenzi: kuna mambo mengi sana yanaweza kumuingiza mtu ktk mahusiano, mfano; pesa, upelelezi, kukomoa na hata kusambaza magonjwa. Tafakari!

Pamoja sana. Saiv ndoa zinavunjika kwa kasi ya ajabu kwa sababu watu wamekiuka mipango na malengo ya Mungu kuweka ndoa. Leo hii utakuta mtu anaingia katika ndoa kwa kutafuta utajiri na si kujenga familia takatifu.
 
mwanaume hata akikubali
hawezi pewa talaka bali atasamehewa na mkewe
mwanamke akikubali ndoa hana,sasa nikubali niachwe?
aaakuuuuuu!nakufa na tai shingoni hahaa!
na huyo mwanaume atakua msaliti ndio maana mke kaamua
kufanya na yeye,midume mnafaa basi?!aaaaghhhh!


Jamaa sio kicheche aisee, tunazunguka nae porini sana tu, hajawahi kulala na demu, na ndo mana kadata.....mana akifikiria wana walikua wakimtania siku utakuta mkeo analiwa utakufa wewe, na ndo yametokea kweli!
 
Midundo,alizikana hata picha!!!!! kweli hata kwa mtutu...
 
Last edited by a moderator:
Hili kweli wanaume wepesi wa kukiri mara zote pia wapo wanawake wanakiri na kuomba msamaha lakini ni wazi kuwa mwanaume ukikiri kosa anakufukuza na hii ni wengi sana yani wanaonekana kama kinyesi ndo mana wanakomaa mazima kwani nae ni binadamu kama amakosea na kuomba msamaha asamehewe,na huyo wa kuliwa na wanaume wawili nnje hawezi kukiri anajua anachokifanya si bahati mbaya amekusudia hafai ni wa kupewa talaka tu.
 
Duh! Wanaume wengine wavumilivu eh!? mpaka amepata na picha bado anaendelea kumuuliza kama kaliwa! mimi hapo ni kichapo afu out akaliwe vizuri huko huko Mitaani sio kwenye himaya yangu kwishineh.
 
Ikibidi wakapime pengine na hao watoto sio wake. Amuache huyo dada aendelee na maisha yake kwani kucheat ni decision ambayo mtu huwa yuko tayari kukabiliana na chochote so hilo sio kosa na wala sio bahati mbaya it is all about choice. Sasa mkaka kazi kwake aamue kuvumilia huku akijua huyo mama hatoacha hiyo tabia au watengane kila mtu aishi maisha yake kwa amani na furaha pasipo kuumizana.
 
Back
Top Bottom