Sabaya hakupita JKT.lijinga kabisaSabaya kaongea mambo ambayo wala hatukupaswa kujua kama kweli alitumwa na mamlaka. Anamtaja Dkt. Mpango katika sakata lake hata kama anajua kilichompeleka Arusha au Moshi hayakuwa mambo ya kuweka hadharani kwa sasa huyo Mpango ni Rais siyo tena waziri. Asitafute huruma kama ni mission maalumu iishe kwa siri kama ilivyoanza.
Ukitumwa mission ya siri hata kama utakuwa unakufa itunze sirbayai, Sabaya anaogopa kufungwa?