Hata kama una haki....

Kosa halihalalishwi na kosa ...JPM kuropoka sometimes ni kosa pia ....hao akina Lissu ndio walipaswa kuwa mfano wa hekima na busara ...aache kuropoka hovyo kwasababu tu ni haki yake ....
 

Usisikilize Bongo flava tu, vipi kuhusu 'muziki wa dansi'?

 
Kosa halihalalishwi na kosa ...JPM kuropoka sometimes ni kosa pia ....hao akina Lissu ndio walipaswa kuwa mfano wa hekima na busara ...aache kuropoka hovyo kwasababu tu ni haki yake ....

Exactly!

Halafu ni mara ngapi humu tumemsema Magufuli kwa uropokaji wake?

Watu wana selective moral outrage na selective amnesia ya ajabu sana.
 
Lisu nilikua simuelewi ila sasa namuelewa sana usipomuelewa leo utamuelewa kesho, The guy is genius anatambua mambo mapema sana hata kabla wengi wetu hatujaona, Anafaa kutumiwa kama dira na mwenye mamlaka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lissu ni genius?

Genius aliyeshindwa kutambua blunder ya kumkaribisha Lowassa CHADEMA na kumteua kuwa mgombea wao wa urais?

Really? Seriously?
 
Huyo Magufuli alitutukana sana Wahaya, tena matusi ya nguoni , isitoshe akatufanyia dhuluma kubwa kwenye pesa zetu ambazo watanzania wenye huruma walituchangia.

Ipo siku........





Sent using Jamii Forums mobile app

Lakini si tunaambiwa anapendelea kanda ya ziwa? Iweje sasa aliwatukana na kuwadhulumu pesa zenu mlizochangiwa na Watanzania?
 
Kosa halihalalishwi na kosa ...JPM kuropoka sometimes ni kosa pia ....hao akina Lissu ndio walipaswa kuwa mfano wa hekima na busara ...aache kuropoka hovyo kwasababu tu ni haki yake ....
Unapata wapi uhalali wa kumkosoa wa pili na hujamkosoa wa kwanza wakati wamefanya kosa lile lile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…