Hata kama ni muhanga wa ajira, naipongeza Serikali ya mama Samia

GOYA MNANDA

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
239
160
Kijana ambao ni muhanga wa ajira kwa miaka zaidi ya 10 toka nimehitimu chuo kwa fani Ugavi nafarijika kwa juhudi, mbalimbali ambazo serikali imefanya na inaendelea kufanya kuakikisha inapunguza tatizo la ajira kwa kiasi chake.

Awamu hii chini ya Rais madam Samia kwa kiasi kikubwa wameajiri vijana wengi katika kada mbalimbali na wanaendelea kuajiri kwa kiasi fulani wimbo wa ajira unaimbwa kwa staha na juhudi ya maksudi inaendelea kufanywa kupungua kwa kiasi kikubwa tatizo la ajira

Aliekuwa waziri wa utumishi Mohamedi Mchengerwa (mb) alizingua Ajira app ambayo kwa kias kikubwa ajira zote private sector public sector na mashirika ya kimataifa taasisi za dini nk wanapitisha ajira katika app hiyo ili linasaidia sana vijana wengi kuona fursa za ajira na kuomba hii ni hatua kubwa sana kama taifa kwa mustakabar wa maisha ya vijan wake.

Pamoja na kuwa na GPA kubwa za darasan nawashaur vijan wezangu kutafuta fursa shikizi wakat wanasubr fursa ya ajira kama biashara kilimo na ukipata chance ya internship basi fanya kweli

Vijana wengi tunapendwa na wazazi ndugu jamaa na marafik wakat tupo chuo hivyo pesa huwa sio tatizo unapokea pesa kwa wakat kutoka board ya mikopo ndugu jamaa na marafik taasisi zinazotuzamini nk ili kuiandaa ajira shikizi ni lazima ukitumie vizur kiela unachokipata wakt upo chuo mfano bumu + plus mizinga kwa kaka dada baba shangaz mjomba rafik ulikua na uwezo wa kufungua fixed account bank na kila mwez ukaweka 50000-100000 bado kuna kujibana ili ufikie malengo yako upo chuo unakua mcharo kwa washikaji alafu leo unasema mtaji sheea na una jina kubwa bar pemben na hostel au kule kiimbwi ilo tatizo

Acha kumilik vitu vya thaman wakat wa masomo iPhone 6 laptop nguo mlima city kila weekend saloon

Apply opportunities cost katika makuz yako ya chuo pengine vijana walioitimu chuo miaka ya 2000 wangekua na mtazsmo kama huu leo wangekua mbali kibiashara nk

Tumekosea wapi nini kifanyike tunahitaji nini

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Kijana ambao ni mahanga wa ajira kwa miaka zaidi ya 10 toka nimehitimu chuo kwa fani Ugavi nafarijika kwa juhud mbalimbali ambazo serikr imefanya na inaendelea kufanya kuakikisha inapunguza tatixo la ajira kwa kias chake.

Awamu hii chini ya rais madam samia kwa kias kikubwa wameajir vijana wengi katika kada mbalimbali na wanaendelea kuajiri kwa kias fulan wimbo wa ajira unaimbwa kwa staha na juhud ya maksud inaendelea kufanywa kupungua kwa kias kikukwa tatizo la ajira

Aliekua wazir wa utumishi mohamedi mchengerwa ( mb) alizingua Ajira app ambayo kwa kias kikubwa ajira zote private sector public sector na mashirika ya kimataifa taasisi za dini nk wanapitisha ajira katika app hiyo ili linasaidia sana vijana wengi kuona fursa za ajira na kuomba hii ni hatua kubwa sana kama taifa kwa mustakabar wa maisha ya vijan wake.

Pamoja na kuwa na GPA kubwa za darasan nawashaur vijan wezangu kutafuta fursa shikizi wakat wanasubr fursa ya ajira kama biashara kilimo na ukipata chance ya internship basi fanya kweli

Vijana wengi tunapendwa na wazazi ndugu jamaa na marafik wakat tupo chuo hivyo pesa huwa sio tatizo unapokea pesa kwa wakat kutoka board ya mikopo ndugu jamaa na marafik taasisi zinazotuzamini nk ili kuiandaa ajira shikizi ni lazima ukitumie vizur kiela unachokipata wakt upo chuo mfano bumu + plus mizinga kwa kaka dada baba shangaz mjomba rafik ulikua na uwezo wa kufungua fixed account bank na kila mwez ukaweka 50000-100000 bado kuna kujibana ili ufikie malengo yako upo chuo unakua mcharo kwa washikaji alafu leo unasema mtaji sheea na una jina kubwa bar pemben na hostel au kule kiimbwi ilo tatizo

Acha kumilik vitu vya thaman wakat wa masomo iPhone 6 laptop nguo mlima city kila weekend saloon

Apply opportunities cost katika makuz yako ya chuo pengine vijana walioitimu chuo miaka ya 2000 wangekua na mtazsmo kama huu leo wangekua mbali kibiashara nk

Tumekosea wapi nini kifanyike tunaitaj nini



Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Kwenye kuacha kumiliki vitu vya thamani na ukataja iPhone 6 na laptop nimeona thread Yako imekua point less Yani PC zakusomea Chuo nakufanya kazi za Chuo unaona Kama anasa iPhone 6 saivi ambazo hata 100k unapata
 
Kijana ambao ni mahanga wa ajira kwa miaka zaidi ya 10 toka nimehitimu chuo kwa fani Ugavi nafarijika kwa juhud mbalimbali ambazo serikr imefanya na inaendelea kufanya kuakikisha inapunguza tatixo la ajira kwa kias chake.

Awamu hii chini ya rais madam samia kwa kias kikubwa wameajir vijana wengi katika kada mbalimbali na wanaendelea kuajiri kwa kias fulan wimbo wa ajira unaimbwa kwa staha na juhud ya maksud inaendelea kufanywa kupungua kwa kias kikukwa tatizo la ajira

Aliekua wazir wa utumishi mohamedi mchengerwa ( mb) alizingua Ajira app ambayo kwa kias kikubwa ajira zote private sector public sector na mashirika ya kimataifa taasisi za dini nk wanapitisha ajira katika app hiyo ili linasaidia sana vijana wengi kuona fursa za ajira na kuomba hii ni hatua kubwa sana kama taifa kwa mustakabar wa maisha ya vijan wake.

Pamoja na kuwa na GPA kubwa za darasan nawashaur vijan wezangu kutafuta fursa shikizi wakat wanasubr fursa ya ajira kama biashara kilimo na ukipata chance ya internship basi fanya kweli

Vijana wengi tunapendwa na wazazi ndugu jamaa na marafik wakat tupo chuo hivyo pesa huwa sio tatizo unapokea pesa kwa wakat kutoka board ya mikopo ndugu jamaa na marafik taasisi zinazotuzamini nk ili kuiandaa ajira shikizi ni lazima ukitumie vizur kiela unachokipata wakt upo chuo mfano bumu + plus mizinga kwa kaka dada baba shangaz mjomba rafik ulikua na uwezo wa kufungua fixed account bank na kila mwez ukaweka 50000-100000 bado kuna kujibana ili ufikie malengo yako upo chuo unakua mcharo kwa washikaji alafu leo unasema mtaji sheea na una jina kubwa bar pemben na hostel au kule kiimbwi ilo tatizo

Acha kumilik vitu vya thaman wakat wa masomo iPhone 6 laptop nguo mlima city kila weekend saloon

Apply opportunities cost katika makuz yako ya chuo pengine vijana walioitimu chuo miaka ya 2000 wangekua na mtazsmo kama huu leo wangekua mbali kibiashara nk

Tumekosea wapi nini kifanyike tunaitaj nini



Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Serikali ikope hela iweke kwenye mabank waweke vigezo vya elimu flani vijana tukope tupate mitaji tujiajiri
 
Tupe takwimu hadi sasa serikali imeajiri watumishi wa ngapi?

Kingine kumiliki iphone na kununua nguo mlimani sio matumizi mabaya ya pesa
 
Kwenye kuacha kumiliki vitu vya thamani na ukataja iPhone 6 na laptop nimeona thread Yako imekua point less Yani PC zakusomea Chuo nakufanya kazi za Chuo unaona Kama anasa iPhone 6 saivi ambazo hata 100k unapata
Laptop kwa vijana wengi chuo ni fashion kivuta walembo geto na kuangalia movie tu kutumia kwa social media ila wanaotumia kusoma basi wanamsingi nao kutoka primary sec advance umetoka liwale uko umesoma sec ya kata tuition unasikia tu unaingia udsm unawaza laptop unaanzaje kumsawish mzaz?? katika uhalisia mambo hayapo hivyo tunazungumza na watoto wa maskin kwenye beg ana suala za kama 3 viatu vya mjomba pair 2 na unga unga ya familia

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Kijana ambao ni mahanga wa ajira kwa miaka zaidi ya 10 toka nimehitimu chuo kwa fani Ugavi nafarijika kwa juhud mbalimbali ambazo serikr imefanya na inaendelea kufanya kuakikisha inapunguza tatixo la ajira kwa kias chake.

Awamu hii chini ya rais madam samia kwa kias kikubwa wameajir vijana wengi katika kada mbalimbali na wanaendelea kuajiri kwa kias fulan wimbo wa ajira unaimbwa kwa staha na juhud ya maksud inaendelea kufanywa kupungua kwa kias kikukwa tatizo la ajira

Aliekua wazir wa utumishi mohamedi mchengerwa ( mb) alizingua Ajira app ambayo kwa kias kikubwa ajira zote private sector public sector na mashirika ya kimataifa taasisi za dini nk wanapitisha ajira katika app hiyo ili linasaidia sana vijana wengi kuona fursa za ajira na kuomba hii ni hatua kubwa sana kama taifa kwa mustakabar wa maisha ya vijan wake.

Pamoja na kuwa na GPA kubwa za darasan nawashaur vijan wezangu kutafuta fursa shikizi wakat wanasubr fursa ya ajira kama biashara kilimo na ukipata chance ya internship basi fanya kweli

Vijana wengi tunapendwa na wazazi ndugu jamaa na marafik wakat tupo chuo hivyo pesa huwa sio tatizo unapokea pesa kwa wakat kutoka board ya mikopo ndugu jamaa na marafik taasisi zinazotuzamini nk ili kuiandaa ajira shikizi ni lazima ukitumie vizur kiela unachokipata wakt upo chuo mfano bumu + plus mizinga kwa kaka dada baba shangaz mjomba rafik ulikua na uwezo wa kufungua fixed account bank na kila mwez ukaweka 50000-100000 bado kuna kujibana ili ufikie malengo yako upo chuo unakua mcharo kwa washikaji alafu leo unasema mtaji sheea na una jina kubwa bar pemben na hostel au kule kiimbwi ilo tatizo

Acha kumilik vitu vya thaman wakat wa masomo iPhone 6 laptop nguo mlima city kila weekend saloon

Apply opportunities cost katika makuz yako ya chuo pengine vijana walioitimu chuo miaka ya 2000 wangekua na mtazsmo kama huu leo wangekua mbali kibiashara nk

Tumekosea wapi nini kifanyike tunaitaj nini



Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Bro na wewe ni mhitimu wa chuo?
 
Ila mwanangu huna uandishi wa kichuo chuo labda kama those ten years kitaa zimeondoa chuo chote kichwani...

Madogo wa chuo kazeni msilembe kitaani sio poa
 
Back
Top Bottom