Hata kama ni mchezo lakini ana haka katabia

Hata kama ni mchezo lakini ana haka katabia

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,746
Reaction score
861,152
1406466086439.jpg
 
Aisee? Ama kweli dunia ina mambo!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sisi waswahili huwa tunapenda na kuhusudu vitu vya ulaya sana na kila tukikiona kwenye mabango huwa tunaiga na hasa medume kuvaa mepete na cheni na kutoboa sikio kuweka kipini haya sasa na hii musiache kukopiy au kuiga na hii ni feshini mpya kabisa ni letest kwa hapa bongo
 
Sisi waswahili huwa tunapenda na kuhusudu vitu vya ulaya sana na kila tukikiona kwenye mabango huwa tunaiga na hasa medume kuvaa mepete na cheni na kutoboa sikio kuweka kipini haya sasa na hii musiache kukopiy au kuiga na hii ni feshini mpya kabisa ni letest kwa hapa bongo

Mungu wangu wakiiga na hii sasa ni viboko tuu
 
Back
Top Bottom