Hata kama ni kweli Boniface Jacob ndiye anayetuletea mtiririko wa kesi ya Mbowe kutokea mahakamani, kuna ubaya gani?

Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawa

USSR
 
Watu wana wivu sana. Kuona huyo martin anatrend na watu wanamrushia pesa imekua nongwa. Wanataka wamtoe kwenye reli tu asitupe uhondo
Unatafuta uhondo mtandaoni , unajiuza ?

USSR
 
Nimekuta malumbano huko twitter na baafhi ya watu wanakejeli kuwa anayeandika mtiririko wa kesi ni Bonny Jacob na siyo MMM kama wengi wanavyofikiria.

Ndio nauliza, huyo Bonny kazuiwa na katiba kuripoti kesi ya Mbowe?

Mbona inakuwa nongwa?!
Wanataka TBC taifa iripoti ili waseme demokrasia ipo.
 
Gaidi mbowe lazima ale miaka ya kutosha ili kupunguza ujuaji mahakamani na twita

USSR
Mhe Jaji hiki anachonionyesha siyo PGO..... Jaji: jamani nendeni naye taratibu tayari mmeshamchanganya huyooo
 
Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawa

USSR
Twende kazi...
 
Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawa

USSR
Hapo mwanzo alipokaa ndani baada ya dhamana yake kufutwa akili ilimrudia? Alipohukumiwa kifungo au faini ya ajabu akili ilimrudia?

Amandla...
 
Nimekuta malumbano huko twitter na baafhi ya watu wanakejeli kuwa anayeandika mtiririko wa kesi ni Bonny Jacob na siyo MMM kama wengi wanavyofikiria.

Ndio nauliza, huyo Bonny kazuiwa na katiba kuripoti kesi ya Mbowe?

Mbona inakuwa nongwa?!
Bwashee wote MMM na ex mayor bon wanaripot kwa zam
 
Mmezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi! Nyau we!
Nguruwe poli hizo za Makunduchi, zisikuchoshe mkuu.
zinapenda kuolewa mitala na ndoa za Mombasa.. akili zao hazina akili kama yule Mwanasesere wa Polepole.
zimelaaniwa DUNIANI na Mbinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…