Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawaLazima wafuatilie maana ndicho chama hai cha upinzani kilichobaki na chenye nguvu.
Wanafanya kila namna ili mradi waue upinzani.
Mbowe anatoka tena bila kuwa na hatia yoyote.
Eti Mbowe anakabiriwa na kesi ya ugaidi? Hizi figisu niliziona toka mwanzo kipindi cha uchaguzi na mikutano
CCM bila polisi ni wepesi km unyoya.
Ndiyo hayo hayo ya Rugamalila?
Hapo wanapandikiza chuki bila wao kujua wanafikiri Mbowe ni Chadema, wakimfunga Mbowe ndiyo wamemaliza kila kitu.
Unatafuta uhondo mtandaoni , unajiuza ?Watu wana wivu sana. Kuona huyo martin anatrend na watu wanamrushia pesa imekua nongwa. Wanataka wamtoe kwenye reli tu asitupe uhondo
Hahahaaaa.......!Hahaha
Anajiuza aliyekuzaaUnatafuta uhondo mtandaoni , unajiuza ?
USSR
Ulitaka asome babako peke yake
USSR
Wanataka TBC taifa iripoti ili waseme demokrasia ipo.Nimekuta malumbano huko twitter na baafhi ya watu wanakejeli kuwa anayeandika mtiririko wa kesi ni Bonny Jacob na siyo MMM kama wengi wanavyofikiria.
Ndio nauliza, huyo Bonny kazuiwa na katiba kuripoti kesi ya Mbowe?
Mbona inakuwa nongwa?!
Kama mamako anavyokojozwa na maselaKingai alikojozwa bila mkongo, bado wewe na Ziro.
Inawasaidia nini kuleta mtiririko unaoegemea upande mmoja ,huo sio uandishi na mwish wa siku mbowe analiwa kichwa
USSR
Mhe Jaji hiki anachonionyesha siyo PGO..... Jaji: jamani nendeni naye taratibu tayari mmeshamchanganya huyoooGaidi mbowe lazima ale miaka ya kutosha ili kupunguza ujuaji mahakamani na twita
USSR
Twende kazi...Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawa
USSR
Sasa jamani kama TBC ya walipa kodi, wameshindwa kuhabarisha wananchi, kuhusu mwenendo wa kesi,basi labda si vibaya wakitokea wazalendo wengine waliojitolea kutuhabarisha.....kazi iendelee.punguza jazba mataga pori.
Hapo mwanzo alipokaa ndani baada ya dhamana yake kufutwa akili ilimrudia? Alipohukumiwa kifungo au faini ya ajabu akili ilimrudia?Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawa
USSR
Bwashee wote MMM na ex mayor bon wanaripot kwa zamNimekuta malumbano huko twitter na baafhi ya watu wanakejeli kuwa anayeandika mtiririko wa kesi ni Bonny Jacob na siyo MMM kama wengi wanavyofikiria.
Ndio nauliza, huyo Bonny kazuiwa na katiba kuripoti kesi ya Mbowe?
Mbona inakuwa nongwa?!
Nguruwe poli hizo za Makunduchi, zisikuchoshe mkuu.Mmezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi! Nyau we!
Comment gani hii Sasa?Ulitaka asome babako peke yake
USSR
Kwanini kibatala anamsomea mwenzake vitu tofauti 🤣🤣🤣Twende kazi... View attachment 1943530View attachment 1943531
Ingesaidia Kama na wewe ungeleta wa upande wa piliInawasaidia nini kuleta mtiririko unaoegemea upande mmoja ,huo sio uandishi na mwish wa siku mbowe analiwa kichwa
USSR