USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,884
- 22,595
Atatoka !!! Mnajipa matumaini karibu anakata mwezi na ndio kwanza kesi imeanza ,pale ni kesi ndogo ndani ya kesi kubwa Kama tano hata akikaa miezi minne bado atakuwa akili zimerudi akija uraiani atakuwa amekaa sawaLazima wafuatilie maana ndicho chama hai cha upinzani kilichobaki na chenye nguvu.
Wanafanya kila namna ili mradi waue upinzani.
Mbowe anatoka tena bila kuwa na hatia yoyote.
Eti Mbowe anakabiriwa na kesi ya ugaidi? Hizi figisu niliziona toka mwanzo kipindi cha uchaguzi na mikutano
CCM bila polisi ni wepesi km unyoya.
Ndiyo hayo hayo ya Rugamalila?
Hapo wanapandikiza chuki bila wao kujua wanafikiri Mbowe ni Chadema, wakimfunga Mbowe ndiyo wamemaliza kila kitu.
USSR