johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Nimekuta malumbano huko twitter na baafhi ya watu wanakejeli kuwa anayeandika mtiririko wa kesi ni Bonny Jacob na siyo MMM kama wengi wanavyofikiria.
Ndio nauliza, huyo Bonny kazuiwa na katiba kuripoti kesi ya Mbowe?
Mbona inakuwa nongwa?!
Ndio nauliza, huyo Bonny kazuiwa na katiba kuripoti kesi ya Mbowe?
Mbona inakuwa nongwa?!