1. Robertinho ni mmoja wa makocha bora wa kigeni wanaolijua soka la Afrika mashariki
2. Hajakaa na timu muda mrefu ili aweze ku-instil falsafa yake ya timu kushambulia muda wote.
3. Timu ipo kwenye hatua ya mwisho ya kukua: kuanguka kwa kiingereza decline
4.Mgunda ndiyo mchawi wa robertinho anafanya kila fitina ili kocha asifanikiwe ili arudishiwe timo
5. Kwa hiyo kocha apewe muda ili ajenge timu ya makombe
2. Hajakaa na timu muda mrefu ili aweze ku-instil falsafa yake ya timu kushambulia muda wote.
3. Timu ipo kwenye hatua ya mwisho ya kukua: kuanguka kwa kiingereza decline
4.Mgunda ndiyo mchawi wa robertinho anafanya kila fitina ili kocha asifanikiwe ili arudishiwe timo
5. Kwa hiyo kocha apewe muda ili ajenge timu ya makombe