Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,193
Oh!! Au umesahau kwamba wewe ni malaika kwangu(hivi malaika ni wa kike au kiume?) osh!! vyovyote vile sema neno moja tu na moyo wangu utafurahi........nafurahi kukusikia u mzima.
Neno moja tu 'UBARIKIWE' ..
Btw, mzima lakini?
^^