Nilifikiri na wao wamenunuliwa!!
Kwanini hili Tanzania Daima nao wanachelewesha taarifa mtandaoni?
Tanzania Daima - Sauti ya Watu
Bado kuna gazeti la jumatatu, 6 septemba 2010
Au ndo wanasubiri wauze kwanza?
Sisi wengine tuko maporini huku
Tunasakanya nyoka