- Thread starter
- #21
Mwambieni sizonje aondoe zuio la mikutano ya hadhara muone moto wa chadema. Kama kukusanyika tu kwenye misiba hawaruhusiwi unategemea nini
Kwa hiyo unakiri CHADEMA ya LOWASA imekuwa LEGELEGE?
No more PEOPLES POWER?
Inasubiri HURUMA ya SIZONJE?