GE2025 Hata CCM yenyewe imejichoka

GE2025 Hata CCM yenyewe imejichoka

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Weka picha basi
1756431978983.jpg
 
Jana karibia kila msanii alialikwa ili kuleta mvuto lakini wapi
Mkuu, kwa nini usitumie lugha sahihi ili ueleweke vizuri!
Hakuna msanii anaye alikwa; wote ni waajiliwa kwenye shughuli hiyo.

Huo msululu wa malori; siyo malori ya CCM hayo. Wenye hayo malori ni kina nani, na wanayo shughuli gani na maswala ya CCM?

Kwa nini tusifanye kazi iliyo rahisi kujuwa hawa wanao tununua kupitia CCM ni kina nani hawa?
Hawa ndio wanao waua waTanzania; lakini hatutaki kuwajuwa ni kina nani hawa ili angalao tujue hata kama tunauliwa

Tunaambiwa waTanzania ni wapumbavu, wajinga, waoga, n.k.. Hivi hata kuwajuwa wanaotuumiza kwa usahihi nako inalazimu tuwe watu wa juhudi kubwa sana?

Kwa nini tuhimizwe kwenda barabarani kuweka maisha yetu mbele ya mitutu ya akina Jumanne Mulilo; akina ACP Awadh; lakini hatuhimizwi kuwatambua wanaowawezesha hawa watu kutoa roho za waTanzania?

Kuna ugumu gani kuchukuwa tu picha na kuzifikisha watu wachambue na kujuwa wauaji wetu hasa ni kina nani!
 
Mkuu, kwa nini usitumie lugha sahihi ili ueleweke vizuri!
Hakuna msanii anaye alikwa; wote ni waajiliwa kwenye shughuli hiyo.

Huo msululu wa malori; siyo malori ya CCM hayo. Wenye hayo malori ni kina nani, na wanayo shughuli gani na maswala ya CCM?

Kwa nini tusifanye kazi iliyo rahisi kujuwa hawa wanao tununua kupitia CCM ni kina nani hawa?
Hawa ndio wanao waua waTanzania; lakini hatutaki kuwajuwa ni kina nani hawa ili angalao tujue hata kama tunauliwa

Tunaambiwa waTanzania ni wapumbavu, wajinga, waoga, n.k.. Hivi hata kuwajuwa wanaotuumiza kwa usahihi nako inalazimu tuwe watu wa juhudi kubwa sana?

Kwa nini tuhimizwe kwenda barabarani kuweka maisha yetu mbele ya mitutu ya akina Jumanne Mulilo; akina ACP Awadh; lakini hatuhimizwi kuwatambua wanaowawezesha hawa watu kutoa roho za waTanzania?

Kuna ugumu gani kuchukuwa tu picha na kuzifikisha watu wachambue na kujuwa wauaji wetu hasa ni kina nani!
Kwa nini tuhimizwe kwenda barabarani kuweka maisha yetu mbele ya mitutu ya akina Jumanne Mulilo; akina ACP Awadh; lakini hatuhimizwi kuwatambua wanaowawezesha hawa watu kutoa roho za waTanzania?
 
Kilichotarajiwa kuwa tukio kubwa la ufunguzi wa kampeni za CCM.. Kiligeuka karaha kwa wakazi wa Dar hasa wa maeneo yote kuelekea njia za Kawe, Bagamoyo, Bahari beach nknk.

Tukio lililopaswa kuwa na shamrashamra na amsha amsha za kila aina liligeuzwa kuwa taharuki ya kiusalama.

Nikiwa zangu Kwamtogole nilikuwa na safari ya kwenda Kawe Darajani
Kwanza nikaambiwa njia ya chini imefungwa hivyo nikaamua kubet kwa kupitia Sinza then ITV halafu nishukie kuelekea Clouds.

Njia zote nilizopita kulikuwa na kila aina ya askari na nagari ya doria yakiwa yamesheheni askari wenye silaha
Kuingia njia ya Kawe ukitokea Clouds nikakutana na makundi ya watu wamevaa fulana zenye picha ya mgombea wa CCM wakiwa wanatoka Kawe.

Muda huo ilikuwa saa nane na nusu hivi
Nikawaza pengine kampeni za ufunguzi zimebadili uwanja. Kumbe hao watu kwa walienda mapema kisha wakazinguliwa na kuamua kutoroka.

Haikuwa rahisi kuondoka bila kutumia mbinu kali maana watu walizuiwa kuondoka.

Watu wote niliowaona barabarani hawakuwa na nyuso za furaha ni kama wanatoka ama wanaenda kilioni. Hakuna vibe, hakuna shangwe hakuna kuongea kwa sauti kubwa hakuna kutumia simu kupiga picha za kumbukumbu na selfies...!

Wana usalama, askari kanzu na askari wa sare walikuwa wengi mno.... Hali ilikuwa ngumu mno na hata wale waliojaribu kufanya amsha amsha yoyote walinywea nywiii.

Bofaboda na fujo zao barabarani jana walikuwa watiifu kuliko umbwa za polisi.. Wengi walivaalishwa fulana lakini nyuso zao zilionesha ninini kipo mioyoni mwao
Kuna helicopter angani iliyokuwa na bango la kijani lakini nayo ikaonekana kama jicho la mwewe badala ya burudani

Kama uzinduzi wa Dar ulikuwa vile ulivyoonekana jana! Basi huko mikoani ccm wana hali ngumu sana na si ajabu matukio ya zomeazomea yanaweza kuripotiwa kwa baadhi ya mikoa

Uzinduzi wa jana ulikuwa kama kuanua tanga! Hakuna vilio lakini hakuna furaha! Ni huzuni fadhaa na kusikitika
View attachment 3456925
We kibwengo nenda kahuishe hilo bichwa lako, unaandika uchafu usio na kichwa wala miguu. We msukule ni wa kupuuzwa umeshakata tamaa na wale nyumbu wako.
 
Mwanaume mzima
Kilichotarajiwa kuwa tukio kubwa la ufunguzi wa kampeni za CCM.. Kiligeuka karaha kwa wakazi wa Dar hasa wa maeneo yote kuelekea njia za Kawe, Bagamoyo, Bahari beach nknk.

Tukio lililopaswa kuwa na shamrashamra na amsha amsha za kila aina liligeuzwa kuwa taharuki ya kiusalama.

Nikiwa zangu Kwamtogole nilikuwa na safari ya kwenda Kawe Darajani
Kwanza nikaambiwa njia ya chini imefungwa hivyo nikaamua kubet kwa kupitia Sinza then ITV halafu nishukie kuelekea Clouds.

Njia zote nilizopita kulikuwa na kila aina ya askari na nagari ya doria yakiwa yamesheheni askari wenye silaha
Kuingia njia ya Kawe ukitokea Clouds nikakutana na makundi ya watu wamevaa fulana zenye picha ya mgombea wa CCM wakiwa wanatoka Kawe.

Muda huo ilikuwa saa nane na nusu hivi
Nikawaza pengine kampeni za ufunguzi zimebadili uwanja. Kumbe hao watu kwa walienda mapema kisha wakazinguliwa na kuamua kutoroka.

Haikuwa rahisi kuondoka bila kutumia mbinu kali maana watu walizuiwa kuondoka.

Watu wote niliowaona barabarani hawakuwa na nyuso za furaha ni kama wanatoka ama wanaenda kilioni. Hakuna vibe, hakuna shangwe hakuna kuongea kwa sauti kubwa hakuna kutumia simu kupiga picha za kumbukumbu na selfies...!

Wana usalama, askari kanzu na askari wa sare walikuwa wengi mno.... Hali ilikuwa ngumu mno na hata wale waliojaribu kufanya amsha amsha yoyote walinywea nywiii.

Bofaboda na fujo zao barabarani jana walikuwa watiifu kuliko umbwa za polisi.. Wengi walivaalishwa fulana lakini nyuso zao zilionesha ninini kipo mioyoni mwao
Kuna helicopter angani iliyokuwa na bango la kijani lakini nayo ikaonekana kama jicho la mwewe badala ya burudani

Kama uzinduzi wa Dar ulikuwa vile ulivyoonekana jana! Basi huko mikoani ccm wana hali ngumu sana na si ajabu matukio ya zomeazomea yanaweza kuripotiwa kwa baadhi ya mikoa

Uzinduzi wa jana ulikuwa kama kuanua tanga! Hakuna vilio lakini hakuna furaha! Ni huzuni fadhaa na kusikitika
View attachment 3456925
Mwanaume rijali hawezi kuwa na muda wa kuandika usenge km huo. Hv huonagi ht aibu?
 
Kilichotarajiwa kuwa tukio kubwa la ufunguzi wa kampeni za CCM.. Kiligeuka karaha kwa wakazi wa Dar hasa wa maeneo yote kuelekea njia za Kawe, Bagamoyo, Bahari beach nknk.

Tukio lililopaswa kuwa na shamrashamra na amsha amsha za kila aina liligeuzwa kuwa taharuki ya kiusalama.
Swali muhimu linalo hitaji kuulizwa, ni: Je lengo lililo tarajiwa limefikiwa?

Sina shaka kwamba wenye shughuli yao wameridhika na matokeo yaliyo patikana.

Hawa hawana lengo la kuvutia watu wenye furaha na kuonyesha shamrashamra za mapenzi kwao, kwani hilo halina uhusiano wowote na wanacho kitafuta.
Kinachotafutwa ni kuonyesha tu shughuli imefanyika na imeonyesha wingi wa watu waliofika kwenye shughuli hiyo, basi.
Ni sawa na msiba wa waombolezaji wa kukodi. Wamefika kwenye msiba; wakaigiza walivyo guswa sana na kumpoteza marehemu, na shughuli ikaisha na wao wakakunja chao.

Akina Samia na Genge lake wanachotafuta kwenye shughuli hizi za Kampeni, si kutafuta kuungwa mkono na waTanzania wenye matumaini na uongozi wao. Wanatafuta tu hizo picha na kusafisha matokeo ya ushindi ambao tayari wanajuwa umekwisha patikana.
 
Back
Top Bottom