hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,558
- 2,824
Tanzania bado tumeendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu katika michezo mbalimbali. Hivi karibuni timu ya mpira wa miguu wa ufukweni (beach soccer) ilikwenda misri katika michuano hiyo ngazi ya Africa ambako nako timu yetu hiyo imeendelea kuwa jamvi la wageni kwa kupigwa karibu kila mechi iliyokwisha cheza...