Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
mkuu umeulizwa swali nimekujibu.. unaongeza mengie.. kwanza... nani baba na nani mtoto!! .. uanposema znz ni mwanetu ni kama tuna uwezo wa kuwafanya lolote. znz ni nchi .. tuwaache wajiamulie mambo yao wenyewe... Ndoa hailazimishwi.. ndani ya miaka 47 wao hawajaona faida yoyote!! mimi kama mtanganyika sitapungukiwa na lolote , nitafurahi wakiwa kama nchi jirani... sababu tutawatreat as foreigners .. umeme watalipa kama wageni.. biashara watakuwa wawekezaji..
Ukiona Wazanzibari hawajitoi kwenye Muungano ujue fika kwamba wanaupenda sana! Hayo malalamiko ni jambo la kawaida tu, ni sawa na wananchi wa Kigoma kulalamika juu ya kutounganishwa kwenye umeme wa gridi ya Taifa, au wananchi wa Kanda ya Ziwa kulalamikia kutofaidika kwao na madini! What's so special na malalamiko ya Wazanzibari wapatao 1mil tu?