Hasira, Uonevu na Chuki

bnhai

JF-Expert Member
Jul 12, 2009
2,829
2,387
These images show high level of anger, frustration and despair
Black lives1.jpg
Black lives2.jpg
Black lives.jpg
Black lives1.jpg
Lakini ya huyo mwanamke, ni kama anasema sina cha kupoteza sasa. Njooni. Nimesimama imara na kishupavu. Sitishwi na silaha zenu na uhodari kwangu ni kutoka moyoni.
Kifupi nguvu ya huyo mwanamke inaonyesha ukandamizaji hata ukitumia silaha za kisasa za aina yoyote hauwezi kushindana na haki inayosimama bila kutumia silaha.
 
Until the philosophy which holds one human race superior and another inferior is finally and permanently discredited and abandoned....everywhere is war. Haya mambo ya rascim yanafundishwa.....mtoto akizaliwa haelewi lolote kuhusu ubaguzi wa rangi. Inakuaje sasa haya yanatokea?

Rascim haiishii kwenye rangi tu.....institution rascim ndio mbaya zaidi.....rangi fulani inapata advantage kuliko wengine. Tena jamii yote itaamini ndivyo ilovyo tu watu wasilalamike hamna namna wataweza badilisha. Hii inaitwa blame the victim.....hata tuwakandamize vipi inatakiwa tuendelee kuwakandamiza. Noma sana brother.....devide and rule ndio silaha kuwa inayotumiwa na oppressors. Pia dhihaka...ili kupunguza morale na kupotosha ukweli. Hapa nasahuri watu wajenge phylosophy ku-guide life yao. Jiunize.....ukiacha material wealth and blah blah unataka ufanyie nini life yako?

Ulipokuwa mtoto ulikuwa very interested na maisha leo nini kimetokea? Aisee inatakiwa uwe mmoja ya mashujaa kwenye familia yako, community yako, school, kazini or wherever upo. When you die watu hawatakukumbuka eti....fulani alikuwa womanizer kinoma, watakukumbuka Davis/Hussein alikuwa great father, great teacher, great philanthropist, great businessman/woman.

Aisee hizo picha zinamana zaidi ya elfu mia kwangu, let me end...yapo mambo mob yakushea na hii jamii yetu ya Tz. Stay alive
 
Until the philosophy which holds one human race superior and another inferior is finally and permanently discredited and abandoned....everywhere is war. Haya mambo ya rascim yanafundishwa.....mtoto akizaliwa haelewi lolote kuhusu ubaguzi wa rangi. Inakuaje sasa haya yanatokea?

Rascim haiishii kwenye rangi tu.....institution rascim ndio mbaya zaidi.....rangi fulani inapata advantage kuliko wengine. Tena jamii yote itaamini ndivyo ilovyo tu watu wasilalamike hamna namna wataweza badilisha. Hii inaitwa blame the victim.....hata tuwakandamize vipi inatakiwa tuendelee kuwakandamiza. Noma sana brother.....devide and rule ndio silaha kuwa inayotumiwa na oppressors. Pia dhihaka...ili kupunguza morale na kupotosha ukweli. Hapa nasahuri watu wajenge phylosophy ku-guide life yao. Jiunize.....ukiacha material wealth and blah blah unataka ufanyie nini life yako?

Ulipokuwa mtoto ulikuwa very interested na maisha leo nini kimetokea? Aisee inatakiwa uwe mmoja ya mashujaa kwenye familia yako, community yako, school, kazini or wherever upo. When you die watu hawatakukumbuka eti....fulani alikuwa womanizer kinoma, watakukumbuka Davis/Hussein alikuwa great father, great teacher, great philanthropist, great businessman/woman.

Aisee hizo picha zinamana zaidi ya elfu mia kwangu, let me end...yapo mambo mob yakushea na hii jamii yetu ya Tz. Stay alive
You said it all. For the country like the US and the rest of the western power, it is surprising that lessons from discrimination haven't learned. The protesters are not stupid. They are tired being judged by colour of their skin (racial profiling). Haiwezekani. Wengine wamekaa kimya kwa sababu wale ni Marekani. Hebu tufikirie wale Wazungu wa Zimbabwe na Mugabe. The black Americans have faced discrimination for generations now. Hawa ndio wapo chini kabisa kwenye food chain. Jamani tuzungumze
 
Tuna tatizo kubwa zaidi la umasikini Tanzania, tunaweza kulijadili hili kila siku bila kuchoka hadi tupate suluhusho. Tuwaamini weusi walioko Marekani kuwa wana uwezo wa kumaliza matatizo yao wenyewe kama wao walivyoweza kutuamini kuwa tunaweza kukabiliana na umasikini wetu wenyewe
 
Tuna tatizo kubwa zaidi la umasikini Tanzania, tunaweza kulijadili hili kila siku bila kuchoka hadi tupate suluhusho. Tuwaamini weusi walioko Marekani kuwa wana uwezo wa kumaliza matatizo yao wenyewe kama wao walivyoweza kutuamini kuwa tunaweza kukabiliana na umasikini wetu wenyewe
Hili ni tatizo la kufikiri kimasikini kama ulivyosema sisi ni masikini. Kama wanaweza kubaguliwa Marekani, ndani ya globalisation sisi hatuhusiki. Fikiria utumwa, trade agreements, sports na mengine mengi. Eti linawahusu wao. Hawajaa interest zao zikiguswa hata mashariki ya mbali wanakwenda sie bado tunatazama hapa. Yaani haki za binadamu zinaishia kwenye mipaka.
 
Hili ni tatizo la kufikiri kimasikini kama ulivyosema sisi ni masikini. Kama wanaweza kubaguliwa Marekani, ndani ya globalisation sisi hatuhusiki. Fikiria utumwa, trade agreements, sports na mengine mengi. Eti linawahusu wao. Hawajaa interest zao zikiguswa hata mashariki ya mbali wanakwenda sie bado tunatazama hapa. Yaani haki za binadamu zinaishia kwenye mipaka.

Yes, human rights is a global issue and so is poverty. The thing is, how do you prioritise - racism in the developed world or poverty at home.

Poverty is real, while blacks killings by law enforcement is just a symptom of racism. Lets not get carried away by globalisation while the bitter truth is kila mtu kufa kivyake
 
Hili ni tatizo la kufikiri kimasikini kama ulivyosema sisi ni masikini. Kama wanaweza kubaguliwa Marekani, ndani ya globalisation sisi hatuhusiki. Fikiria utumwa, trade agreements, sports na mengine mengi. Eti linawahusu wao. Hawajaa interest zao zikiguswa hata mashariki ya mbali wanakwenda sie bado tunatazama hapa. Yaani haki za binadamu zinaishia kwenye mipaka.

Yes, human rights is a global issue and so is poverty. The thing is, how do you prioritise - racism in the developed world or poverty at home.

Poverty is real, while blacks killings by law enforcement is just a symptom of racism. Lets not get carried away by globalisation while the bitter truth is kila mtu kufa kivyake
 
Hili ni tatizo la kufikiri kimasikini kama ulivyosema sisi ni masikini. Kama wanaweza kubaguliwa Marekani, ndani ya globalisation sisi hatuhusiki. Fikiria utumwa, trade agreements, sports na mengine mengi. Eti linawahusu wao. Hawajaa interest zao zikiguswa hata mashariki ya mbali wanakwenda sie bado tunatazama hapa. Yaani haki za binadamu zinaishia kwenye mipaka.

Yes, human rights is a global issue and so is poverty. The thing is, how do you prioritise - racism in the developed world or poverty at home.

Poverty is real, while blacks killings by law enforcement is just a symptom of racism. Lets not get carried away by globalisation while the bitter truth is kila mtu kufa kivyake
 
Yes, human rights is a global issue and so is poverty. The thing is, how do you prioritise - racism in the developed world or poverty at home.

Poverty is real, while blacks killings by law enforcement is just a symptom of racism. Lets not get carried away by globalisation while the bitter truth is kila mtu kufa kivyake
It's very sad to see someone of the colour excluding himself from the bigger picture. When we began fighting for apartheid, we knew discrimination has got no colour. All the achievements we are seeing today is the result of the fighting at the big stage. Martin Luther never fought for his only African Americans.
Once our brothers and sisters are discriminated, it's much worse for us of which our survival depends on aids and grants. Let's support them.
 
Jamani ubaguzi upo duniani kote. Mnawalaumu wazungu eti wanawabagua? Mbona mnachinjana eti oho wafugaji wametuingilia, oho wakulima wanachukua ardhi yetu sababu mnaogopa kutaja wazi makabila ya waliovamia.
Oho mnabaguana hata sababu ya itikadi wakati wenzenu angalau ni rangi. Ukiwa na itikadi fulani huna haki ya maandamano, mikutano, kusema chochote kile cha kupinga ili hali ukiwa wa vyama fulani jimwage. Wenzetu wanatuzidi wanaandamana hata kupinga ubaguzi huu. Hapa kwetu thubutuuuuu haipo. Andamana kusifia na kusherekea basi.

Heri mbaguzi wa rangi kuliko mbaguzi wa itikadi. Angalia Sudan kusini wanavyochinjana rangi moja, lakini kbila tofauti, Angalia Burundi wanavyouana nao je ni rangi tofauti, Eretria, Iraq, Syria na sehemu nyingine? Tufike mahali tujiulize, je tunaamini kwenye usawa gani? Rangi, imani, misimamo ya kidini, kisiasa, hali ya uchumi, uwezo wa kufikiri auuuuuuuuu. Sijazii nikamaliza. Ubaguzi upo kila mahali kuanzia ngazi ya familia oho huyu mtoto sura mbaya, oho huyu akili kama fulani, oho kaka yangu siamini ni mtoto wa baba oho kabila hili bwana, oho nchi jirani siwapendi wana hili na lile it extends to unlimited distance.
 
Back
Top Bottom