Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 447
Inaumiza na kukera unapoona watu wachache wanapo lindana na kufisadi mali zetu nakujigamba hawezi wajibika!nimechoshwa na uhairishwaji wa bunge uliofanywa kisanii kamavile hakuna jipya lilo zungumzwa juu ya mafisadi wanaotufanya tuishi maisha haya,sasa niwakati mwafaka wakuamua sisi kama walalahoi na wafujajasho nini cha kufanya juu ya serikali dharim kama hii,tuungane na wenzetu wachache walioamua kuweka maisha yao rehani kwaajili yetu,nawasilisha.
Kwa kweli mi binafsi nimeumia sana sana. Hapa nilipo natamani kulia...siamini kilichotokea. Yaani kweli serikali hii imeamua kwa makusudi kutufanya wajinga kiasi hiki??? Tuhuma zote zile za ubadhilifu na ufujaji wa pesa za umma dhidi ya mawaziri wameamua kukaa kimya?
Ehee Mungu tusaidie. Nasubiri tu nisikie tahrir square yetu iko wapi niende, kweli nimechoka.