Mtembezi Kichomi JF-Expert Member Joined Feb 24, 2022 Posts 725 Reaction score 1,045 Jul 1, 2026 #41 Kwa hakika anaeomba MSAMAHA anajua kuwa ameifanya KOSA. Msamaha maana yake ni aliyekosewa anataka kujiridhisha kama alikosewa. NB: Tusameheane jamani, hakuna mkamilifu.
Kwa hakika anaeomba MSAMAHA anajua kuwa ameifanya KOSA. Msamaha maana yake ni aliyekosewa anataka kujiridhisha kama alikosewa. NB: Tusameheane jamani, hakuna mkamilifu.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,574 Reaction score 193,541 Jul 1, 2026 #42 Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana... Cc: Mahondaw