Hashtag mpya ya kupinga kulipia local channel

Hashtag mpya ya kupinga kulipia local channel

Kama hashtag zina saidia kweli Lema agelikuwa kishatoka zamani.


Ndukiiiii
 
Mtindo wa maisha serikali awamu ya 5 in wa kibepari na utandawazi/wizi, kila mtu kivyake. Makapuku wataisifia serikali kwasababu ilianza kuwataja lakini imekuwa ngumu kutekeleza. Hatimaye, dunia itatusifia lakini watanzania tutakuwa tumekauka mifukoni na kiafya. Jifunze kwenda na wakati, lipa na ulipwe zaidi; ndiyo slogan
 
Tz haisikii kwa mtindo huu, wala kwa kuandamana maana kuna maji washa na mazoezi ya polisi. Tukae kimya tu Mungu atatusaidia!
 
Mi naona bora hata antenna maana sasa hivi hadi kuangalia local channels imekuwa kama anasa! dunia yetu sote na sis masikin tunahitaji kuishi vzr!
 
[HASHTAG]#FREE[/HASHTAG] LOCALCHANNEL
Yaan wamekata channel zote za local hawa star times mm nimeenda nikauliza wameniambia local channel zina matatizo but ukilipia hata kile kifurushi cha 6,000 unaziona.huu si uongo huu jaman?TCRA tunaomba mlifuatilie hili hapo Startimes
Kweli wanazingua [HASHTAG]#FreeLocalChannel[/HASHTAG]
 
Masikini watanzania,
#freelocalchanel#

#tumehuruyauchaguzitanzania#
Ondoa ccm 2020
 
nia na madhumuni mtazame TBC kwa lazima kwakua haina watazamaji
 
Sheria za Tanzania ni matamko yaani Mahakamani hazina nafasi... Analogy irejee tu maana digital ni upumbavu tu kwanza channel ni chafu zimaumiza macho upumbavu mwingine huu tena.. For sure sitizami local channel zaidi ya Azam sport HD. Analogy channel zilikuwa safi kasoro TBC na Star TV... Kilichowafanya TBC kuachana na mitambo ya Sony yenyewe picha bora hadi walionayo sasa hivi michafu ni nini haswa?
Ni kweli,Kosa kubwa walilofanya na Lina Wa cost mno Tbc kwa kutumia tech ya wachina na kuiacha ile ya kijapani,kumbuka enzi za Tvt walikua na kiwango bora sana cha picha na video
 
Startimes wezi. ....[HASHTAG]#Freelocalchannel[/HASHTAG]
 
[HASHTAG]#Freelocalchannel[/HASHTAG]
 
Kwa kweli hili ni tatizo kubwa,hv kweli wahusika hawalijui au ndo kutukomoa
 
Back
Top Bottom