Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Kwahiyo unataka tukae kimya tusiseme hata kama treni linaelekea porini?Nchi hii kila MTU ni msemaji sasa,kila MTU ni mchambuzi,kila mtu ni mtabiri.
Kazi IPO mwaka huu.
Kwahiyo unataka tukae kimya tusiseme hata kama treni linaelekea porini?Nchi hii kila MTU ni msemaji sasa,kila MTU ni mchambuzi,kila mtu ni mtabiri.
Kazi IPO mwaka huu.
Tren likiende porini huko nako kuna wawindaji nao watasemaKwahiyo unataka tukae kimya tusiseme hata kama treni linaelekea porini?
Mmeambiwa kama lowassa ni fisadi mpelekeni mahakamani otherwise ujanja ujanja una mwisho wake.
Tatizo sio ndege, tatizo ni mantainance yakeKama nimemuelewa vizuri...huyu mzee bila shaka atakuwa muhanga wa kuminywa kwa wakwepakodi....
Najiuliza, kama nchi imenyooka, ubaya ukowapi tukiinyoosha zaidi kwa kununua ndege?
Upandemwingine anasema wahalifu hawakamatwi, afu dakika chache tena anasema wahalifu wamejaa vituoni..ni aibu sasa viongozi wa upinzani kutetea uhalifu na mafisadi
Ni kweli mkuuHahahahaha wenye akili zetu tumemuelewa, lakini wenye uwezo wa kufikiri sawa na swala hawawezi kumuelewa.
Na chuki ndio inayotufikisha hapa tulipoUzuri wa Mzee RUNGWE huwa haogopi aise kamchana live huwezi endesha nchi kwa chuki