Hasara za Taifa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,133
Reaction score
843,184
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi bilioni 16+πŸ™„

Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na katiba ya Tanzania na hivyo kusababisha hasara ya bilioni 16+πŸ€”
 
Hv mahakama ilitoa maamuzi gani maana kesi ilienda mahakamani! Au katika swala hili la wabunge wale wa cdm nyie hamtaki kusikia neno mahakama
 
nonsense,
 
Mshana nahisi ni Bilioni mkuu, sio trilioni.
Hata hivyo una hoja mkuu.

Nje ya mada: Nasikia Chadema wanataka mpokea Mdee! 😁
 
Halafu tunasema taifa maskini!
 
HASARA NYINGINE YA TAIFA NI KULETWA KWA DIDIER DROGBA BUNGENI KUNGE WEZA KUCHONGWA MADAWATI NA MASHIMO YA CHOO MENGI KWENYE MAENEO YENYE UHITAJI WA HARAKA..

ALISIKIKA PONJORO MMOJA AKIJINASIBU 😁😊
 
Mshana nahisi ni Bilioni mkuu, sio trilioni.
Hata hivyo una hoja mkuu.

Nje ya mada: Nasikia Chadema wanataka mpokea Mdee! 😁
Corrected mkuu πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…